Mzee Makamba, Kama unataka January awe Rais chunga ulimi wako usimharibie

Nimetazama clips za hotuba ya Kikwete na Makamba kwa umakini nikaona hawa wazee safari hii walikuwa wana hasira hatari. JK huwa yuko soft kwenye hotuba zake ila jana alikuwa wa moto mno. Neno mpuuzi, wapuuzi kalitaja mara kadhaa. Yaani hakuwa na masikhara hata kidogo. Makamba alikuwa na hisia kali toka juzi akihojiwa na waandishi. Mzee Makamba ndo alishindwa kabisa kuji-control. Bado sijaelewa kabisa sababu za wazee kucharuka hivi. Halafu mbona Bashiru alikuwa ka-relax kabisa? Nitafuatilia vizuri.
 
Wapo kuna henche(huyu atainyorosha nchi)😂,mnyika, john mrema, pambalu,, hawa mbona wanaweza san tu
 
Wapo kuna henche(huyu atainyorosha nchi)😂,mnyika, john mrema, pambalu,, hawa mbona wanaweza san tu
Hamna kitu, siasa 2015 kwa mtu mfuatiliaji wa siasa tokea 2005 -2015 ,utajua siasa zetu wasaka Tonge wapo wengi,wanafiki wengi wanaweza kuiuza hata nchi.

Ndio maana siku hivi vyama vya upinzani havina plan wacreate vijana wao na hata watu waliokulia kwenye system yao hawa waamini na ndio maana wakamteua Lowasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…