Na hatuachi kumsifia yule mzee ng'o!
Na boss mpya bosslady tunamkubali kama mtangulizi wake maana chuma hunoa chuma
Tunamtambua na tutandelea kumheshimu kazi kwenu nyio mnaoumia akisifiwa sababu mtakufa kwa kihoro
Hatuhitaji approval yenu kusema John Pombe Joseph Magufuli ni shujaa wa karne
Poleni kwa maumivu