MZEE Makamba tubu dhambi uliyowaambia watanzania kuwa watu wazuri hawafi nakushauri hii laana na hii dhambi itakutafuna milele na milele wewe na kizazi chacho, fuatilia maoni ya wengi kwenye mitandao yote utajua taifa lina maumivu makubwa na kauli yako..
hayo ni maoni yangu tu kama mtanzania masikini nisiyeweza kukufikia kukupa ujumbe wangu
hayo ni maoni yangu tu kama mtanzania masikini nisiyeweza kukufikia kukupa ujumbe wangu