Mzee Makamba tubu dhambi ya wazuri hawafi

Mzee Makamba tubu dhambi ya wazuri hawafi

Bado tunasimama na kauli ya Makamba. Magufuli hakuwa mtu mwema ndiyo maana alikufa.

Ukiangalia mazingira yake aliyokuwa anaishi kama Rais utajuwa tu kuwa alikufa kwa kuwa ni mtu muovu kama:-
1. Rais aliye kwenye madaraka
2. Analindwa na Presidential Security Unit
3. Analindwa na askari wenye magwanda ya TPDF
4. Analindwa na magari yenye Internet jammers
5. Analindwa na helicopter angani
6. Analindwa na askari wenye laptops za ku detect vilipuzi
8. Waganga wa Gamboshi na mashehe aliopelekewa na Sheikh Alhad wa Bakwata Dar
9. Madaktari bingwa wa moyo kama Prof Mchembe na Prof Ngwale
10. Mara nyingine CDF, IGP na DG TISS nao walikuwa wanakuwapo

Kama ni mtu mwema unakufaje hapo?
Daima wewe mkuu huwa ni mpuuzi mno.
 
Why mnapenda Sana kukuza mambo?
Huyo Mzee siku Ile Ile alirekebisha kauli yake...why mnataka nongwa isiyo Kwisha?Wen
Kauli gani alirekebisha.?! Aliyerekebisha ni Rais na Mwenyekiti wa CCM taifa na siyo huyo mzee wenu.....Kauli ya huyo mzee ilikuwa ni ya aibu na ya hovyo kabisa.....wengi walinyamaza tu na kuweka moyoni Kama kumbukumbu for the future....Ni aibu kubwa na fedheha kubwa kwa Chama kauli Kama ile kutolewa na mtu aliyewahi kuwa kiongozi wa ngazi za juu wa Chama...
 
Siku January na Mwamvita wakipata ajali ya pamoja na kufa ndio atafuta kauli huyo mzee. Ana kiburi hata lucifer hamfikii huyo mzee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bado tunasimama na kauli ya Makamba. Magufuli hakuwa mtu mwema ndiyo maana alikufa.

Ukiangalia mazingira yake aliyokuwa anaishi kama Rais utajuwa tu kuwa alikufa kwa kuwa ni mtu muovu kama:-
1. Rais aliye kwenye madaraka
2. Analindwa na Presidential Security Unit
3. Analindwa na askari wenye magwanda ya TPDF
4. Analindwa na magari yenye Internet jammers
5. Analindwa na helicopter angani
6. Analindwa na askari wenye laptops za ku detect vilipuzi
8. Waganga wa Gamboshi na mashehe aliopelekewa na Sheikh Alhad wa Bakwata Dar
9. Madaktari bingwa wa moyo kama Prof Mchembe na Prof Ngwale
10. Mara nyingine CDF, IGP na DG TISS nao walikuwa wanakuwapo

Kama ni mtu mwema unakufaje hapo?
Kachero wako amekufaje sasa?
 
Back
Top Bottom