Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Itakua ndio litutumbweHuyu mzee hana account humu tumtag?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua ndio litutumbweHuyu mzee hana account humu tumtag?
Mimi nimefurahi Leo, watu wazuri wameanza kufaWhy mnapenda Sana kukuza mambo?
Huyo Mzee siku Ile Ile alirekebisha kauli yake...why mnataka nongwa isiyo Kwisha?
Una nawazo ya kishetani, utakufa wewe kabla ya Mwanvita na JanuarySiku January na Mwamvita wakipata ajali ya pamoja na kufa ndio atafuta kauli huyo mzee. Ana kiburi hata lucifer hamfikii huyo mzee.
Itakua ndio litutumbwe
Daima wewe mkuu huwa ni mpuuzi mno.Bado tunasimama na kauli ya Makamba. Magufuli hakuwa mtu mwema ndiyo maana alikufa.
Ukiangalia mazingira yake aliyokuwa anaishi kama Rais utajuwa tu kuwa alikufa kwa kuwa ni mtu muovu kama:-
1. Rais aliye kwenye madaraka
2. Analindwa na Presidential Security Unit
3. Analindwa na askari wenye magwanda ya TPDF
4. Analindwa na magari yenye Internet jammers
5. Analindwa na helicopter angani
6. Analindwa na askari wenye laptops za ku detect vilipuzi
8. Waganga wa Gamboshi na mashehe aliopelekewa na Sheikh Alhad wa Bakwata Dar
9. Madaktari bingwa wa moyo kama Prof Mchembe na Prof Ngwale
10. Mara nyingine CDF, IGP na DG TISS nao walikuwa wanakuwapo
Kama ni mtu mwema unakufaje hapo?
You're not God. Nincompoop!Una nawazo ya kishetani, utakufa wewe kabla ya Mwanvita na January
Kauli gani alirekebisha.?! Aliyerekebisha ni Rais na Mwenyekiti wa CCM taifa na siyo huyo mzee wenu.....Kauli ya huyo mzee ilikuwa ni ya aibu na ya hovyo kabisa.....wengi walinyamaza tu na kuweka moyoni Kama kumbukumbu for the future....Ni aibu kubwa na fedheha kubwa kwa Chama kauli Kama ile kutolewa na mtu aliyewahi kuwa kiongozi wa ngazi za juu wa Chama...Why mnapenda Sana kukuza mambo?
Huyo Mzee siku Ile Ile alirekebisha kauli yake...why mnataka nongwa isiyo Kwisha?Wen
HahahaWhy mnapenda Sana kukuza mambo?
Huyo Mzee siku Ile Ile alirekebisha kauli yake...why mnataka nongwa isiyo Kwisha?
Hakurekebisha yeye bwana yani sipati picha comment zitakavyojaa za wazuri hawafi badala ya ripWhy mnapenda Sana kukuza mambo?
Huyo Mzee siku Ile Ile alirekebisha kauli yake...why mnataka nongwa isiyo Kwisha?
Acha kijidharau bwashee, hebu tamka kwa sauti "mimi sio masikini"mtanzania masikini nisiyeweza kukufikia kukupa ujumbe wangu
Hakurekebishaaa acha uongo wee mtu,Why mnapenda Sana kukuza mambo?
Huyo Mzee siku Ile Ile alirekebisha kauli yake...why mnataka nongwa isiyo Kwisha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku January na Mwamvita wakipata ajali ya pamoja na kufa ndio atafuta kauli huyo mzee. Ana kiburi hata lucifer hamfikii huyo mzee.
Kachero wako amekufaje sasa?Bado tunasimama na kauli ya Makamba. Magufuli hakuwa mtu mwema ndiyo maana alikufa.
Ukiangalia mazingira yake aliyokuwa anaishi kama Rais utajuwa tu kuwa alikufa kwa kuwa ni mtu muovu kama:-
1. Rais aliye kwenye madaraka
2. Analindwa na Presidential Security Unit
3. Analindwa na askari wenye magwanda ya TPDF
4. Analindwa na magari yenye Internet jammers
5. Analindwa na helicopter angani
6. Analindwa na askari wenye laptops za ku detect vilipuzi
8. Waganga wa Gamboshi na mashehe aliopelekewa na Sheikh Alhad wa Bakwata Dar
9. Madaktari bingwa wa moyo kama Prof Mchembe na Prof Ngwale
10. Mara nyingine CDF, IGP na DG TISS nao walikuwa wanakuwapo
Kama ni mtu mwema unakufaje hapo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itakua ndio litutumbwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi haka kazee kwanini wasikafinye tu kapotelee mbali huko!
Fitina ndo jadi yetu, atoke hadharani aombe radhi, aliyerekebisha maneno siku Ile ni Samia siyo MaropeWhy mnapenda Sana kukuza mambo?
Huyo Mzee siku Ile Ile alirekebisha kauli yake...why mnataka nongwa isiyo Kwisha?
Hata membe alijiona yeye ataishi milele!Una nawazo ya kishetani, utakufa wewe kabla ya Mwanvita na January