Mzee Mangula ahojiwe kuhusu uzuri na ubaya wa mkataba wa DP World; tumsikie anasimamia upande wa chama au upande wa umma

Mzee Mangula ahojiwe kuhusu uzuri na ubaya wa mkataba wa DP World; tumsikie anasimamia upande wa chama au upande wa umma

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Count down ya wazalendo wa Taifa iendelee tutambue maoni ya waliotangulia kuliona jua wana vision gani kwa wajukuu wao; tumemsikia Mzee Warioba akionyesha wazi kwamba kuna shida kwenye eneo la mikataba nchini. Kwa maneno yenye neutrality ametuelekeza kama taifa kujifunza kutoka kwenye makosa ya mikataba iliyopita. Kwa tafsiri nyingine amewauliza walioingia kwenye hii MoU KWANINI WAMESHINDWA KUJIFUNZA KWENYE MAKOSA YA WATANGULIZI WAO HADI WANARUDIA MAKOSA YALE YALE?"

Bibi wa Taifa (Tibaijuka) yeye kasema wazi kwamba tumepigwa. Mzee Mkuchika ameeleza hisia zake kwa kujificha kwenye kichaka cha kuchukia wabunge kuitwa MBUMBUMBU; alitaka Kiutu uzima kuwaeleza walioingia hii MoU kwamba haijawahi kutokea hadi walio vijijini wakadharau bunge ila kwa mkataba huu wananchi wamewatukana wabunge......tuliosoma cuba tulimwelewa vyema mzee. Means angekuwa na uwezo angeweza kusema ameshiki kwenye makosa yanayoendelea.

Mzee Kinana hajawahi kusimama na wananchi; yeye ni Comredy means anaishi kwa makosa na mazuri ya chama bali siyo uhalisia wa Dunia. Maisha yake ya siasa yanategemea zaidi maono ya aliyejuu yake kuliko msimamo binafsi.

Ningeweza kuomba kusikia Busara za JK lakini najua yeye kama Rais mstaafu kwenye hii hoja itamlazimu achangie kwa maandishi if he sees any contraventions ndani ya MoU vinginevyo publically msimamo wake ni msimamo wa utawala uliopo. The same applies to Mwinyi and Karume Junior.

Mzee Msekwa amesema ila hajaeleweka vyema anasimamia wapi; labda pia tumsikie mzee Shivaji na Mzee Joseph Butiku kama wazaliwa wa ulimwengu wa Tanganyika tunaweza kupata maono yakuweka kinga na kuonyesha vijana wa zamani njia. Natambua nao wamechangia kwa maandishi incase wameshirikishwa ila vinginevyo maoni yao ni muhimu.

Karibu mzee Mangula utupe maoni yako; tufundishe kulala na kuota ndoto za kweli. Ulisimama na JPM kwenye maono yake.....Je, maono haya ndiyo yaliyokuwa moyoni mwako baada ya JPM ? Show us ze Wei babu wa Taifa
 
Huyo mwache apumzike,

Madhila ya kulishwa sumu Si madogo.

Wassira ndo tunasubiri kauli yake.

Wazee walioongea wametosha.
 
Count down ya wazalendo wa Taifa iendelee tutambue maoni ya waliotangulia kuliona jua wana vision gani kwa wajukuu wao; tumemsikia Mzee Warioba akionyesha wazi kwamba kuna shida kwenye eneo la mikataba nchini. Kwa maneno yenye neutrality ametuelekeza kama taifa kujifunza kutoka kwenye makosa ya mikataba iliyopita. Kwa tafsiri nyingine amewauliza walioingia kwenye hii MoU KWANINI WAMESHINDWA KUJIFUNZA KWENYE MAKOSA YA WATANGULIZI WAO HADI WANARUDIA MAKOSA YALE YALE?"

Bibi wa Taifa (Tibaijuka) yeye kasema wazi kwamba tumepigwa. Mzee Mkuchika ameeleza hisia zake kwa kujificha kwenye kichaka cha kuchukia wabunge kuitwa MBUMBUMBU; alitaka Kiutu uzima kuwaeleza walioingia hii MoU kwamba haijawahi kutokea hadi walio vijijini wakadharau bunge ila kwa mkataba huu wananchi wamewatukana wabunge......tuliosoma cuba tulimwelewa vyema mzee. Means angekuwa na uwezo angeweza kusema ameshiki kwenye makosa yanayoendelea.

Mzee Kinana hajawahi kusimama na wananchi; yeye ni Comredy means anaishi kwa makosa na mazuri ya chama bali siyo uhalisia wa Dunia. Maisha yake ya siasa yanategemea zaidi maono ya aliyejuu yake kuliko msimamo binafsi.

Ningeweza kuomba kusikia Busara za JK lakini najua yeye kama Rais mstaafu kwenye hii hoja itamlazimu achangie kwa maandishi if he sees any contraventions ndani ya MoU vinginevyo publically msimamo wake ni msimamo wa utawala uliopo. The same applies to Mwinyi and Karume Junior.

Mzee Msekwa amesema ila hajaeleweka vyema anasimamia wapi; labda pia tumsikie mzee Shivaji na Mzee Joseph Butiku kama wazaliwa wa ulimwengu wa Tanganyika tunaweza kupata maono yakuweka kinga na kuonyesha vijana wa zamani njia. Natambua nao wamechangia kwa maandishi incase wameshirikishwa ila vinginevyo maoni yao ni muhimu.

Karibu mzee Mangula utupe maoni yako; tufundishe kulala na kuota ndoto za kweli. Ulisimama na JPM kwenye maono yake.....Je, maono haya ndiyo yaliyokuwa moyoni mwako baada ya JPM ? Show us ze Wei babu wa Taifa
muda bado lakini wakati u karibu
 
Count down ya wazalendo wa Taifa iendelee tutambue maoni ya waliotangulia kuliona jua wana vision gani kwa wajukuu wao; tumemsikia Mzee Warioba akionyesha wazi kwamba kuna shida kwenye eneo la mikataba nchini. Kwa maneno yenye neutrality ametuelekeza kama taifa kujifunza kutoka kwenye makosa ya mikataba iliyopita. Kwa tafsiri nyingine amewauliza walioingia kwenye hii MoU KWANINI WAMESHINDWA KUJIFUNZA KWENYE MAKOSA YA WATANGULIZI WAO HADI WANARUDIA MAKOSA YALE YALE?"

Bibi wa Taifa (Tibaijuka) yeye kasema wazi kwamba tumepigwa. Mzee Mkuchika ameeleza hisia zake kwa kujificha kwenye kichaka cha kuchukia wabunge kuitwa MBUMBUMBU; alitaka Kiutu uzima kuwaeleza walioingia hii MoU kwamba haijawahi kutokea hadi walio vijijini wakadharau bunge ila kwa mkataba huu wananchi wamewatukana wabunge......tuliosoma cuba tulimwelewa vyema mzee. Means angekuwa na uwezo angeweza kusema ameshiki kwenye makosa yanayoendelea.

Mzee Kinana hajawahi kusimama na wananchi; yeye ni Comredy means anaishi kwa makosa na mazuri ya chama bali siyo uhalisia wa Dunia. Maisha yake ya siasa yanategemea zaidi maono ya aliyejuu yake kuliko msimamo binafsi.

Ningeweza kuomba kusikia Busara za JK lakini najua yeye kama Rais mstaafu kwenye hii hoja itamlazimu achangie kwa maandishi if he sees any contraventions ndani ya MoU vinginevyo publically msimamo wake ni msimamo wa utawala uliopo. The same applies to Mwinyi and Karume Junior.

Mzee Msekwa amesema ila hajaeleweka vyema anasimamia wapi; labda pia tumsikie mzee Shivaji na Mzee Joseph Butiku kama wazaliwa wa ulimwengu wa Tanganyika tunaweza kupata maono yakuweka kinga na kuonyesha vijana wa zamani njia. Natambua nao wamechangia kwa maandishi incase wameshirikishwa ila vinginevyo maoni yao ni muhimu.

Karibu mzee Mangula utupe maoni yako; tufundishe kulala na kuota ndoto za kweli. Ulisimama na JPM kwenye maono yake.....Je, maono haya ndiyo yaliyokuwa moyoni mwako baada ya JPM ? Show us ze Wei babu wa Taifa
Hakuna kitakachobadilika ht mmalize wanasiasa na mapadri wote.
Wenye bandari yao washaamua, nyie bakini humu kuanzisha threads Mia kwa siku
 
Hakuna kitakachobadilika ht mmalize wanasiasa na mapadri wote.
Wenye bandari yao washaamua, nyie bakini humu kuanzisha threads Mia kwa siku
Bora kupoteza muda kuandika hisia zako hapa Jf maana ipo siku wajukuu watasoma na kujifariji kwamba walikuwepo watu wenye hofu ya Mungu.

Tusipoandika leo mawe yatasema; leo tunawasoma akina Mangungo kwa sababu watu waliandika kile walichokifanya

Tusichoke kuandika; wino una nguvu kuliko mapuuza na kukata tamaa
 
Back
Top Bottom