alikua anamalizia kufurahia maishayake ya mwishoHuyu mzee ameamriwa kuwa kituko sasa kwenye jamii.
Hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe K-Lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.
Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.
View attachment 1060633
Pesa ipo!,/nani kakudanganya hawezi mfikisha kileleni! ,Mzee wa kiwango kipande cha pembe ya Faru lazima kiwepo kabatini akiwa uwanjani kama age17yrs.Mwenye # ya K lyn.. Nami nimpandie hewani najua fika yule mzee hamfikishi kunako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Njia yetu site Mkuu. Ila ukiwa na pesa ni bora ukaweka kiburi au mzaha pembeni hasa inapotokea kifo cha mwenza mliyechuma wote ila mkashindwa kuishi pamoja baadaye.
Haibadilishi chochote as long as amefanya ushenzi. We kama una mentality za mkubwa hajambi endelea tu na hizo itikadi. Bila shaka we utakuwa mtu toka nyanda za juu kusiniHuyo unayemwita mshenzi anaweza kua na umri zaidi ya mamayako, jifunze kuheshimu watu wakubwa. ungeandika tuu bila kuweka neno mshenzi
Kajifunze mapenzi. Binadamu wote wanahisia. Kama wewe Una Ni shauri yakoHuyu mzee ameamriwa kuwa kituko sasa kwenye jamii.
Hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe K-Lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.
Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.
View attachment 1060633
SAWA ILA NIMEKUSHAURI KWA NIA NJEMA
Mkuu yule mama hakuwa mwehu kutaka kufanya vile huwenda ni hasira.Mke wake alikuwa mshenzi tu nae, i dont see a point kama una hustle na mwanamke kisha anakusaliti na kutaka kukuua kwa sumu unaokolewa na dakatari wa familia. Huo upendo wako utaendelea kuwepo kwa mtu huyo kweli? Hata wewe mkeo akifanya hayo unaendelea kumpenda ama unaachana nae!?
Atleast mkewe amekufa natural death, tofauti na vile ambavyo yeye alitaka Mengi afe. They had children together hilo halibadiliki ila haiondoi ukweli kuwa mwanamke wake alikuwa mshenzi na alimpa stress za ajabu enzi za ujana wake.
Na pia nadhani mzee aliathirika sana kisaikolojia na hio hali na kuona mwanamke ni kitu cha hovyo tu aheri awe anagonga na kuwaacha akikinai. Ila lately baada ya moyo kupona ndio akaona kumbe kuna wanawake proper tu anaweza kuoa na kuanzisha nae familia vyema tu ndio kumuoa K-Lynn
Sure Mkuu. Ni fundisho kwetu soteTunajisahau sana binadamu, tukipata tunafikiri ndo tumeimaliza dunia. Mungu atusaidie tuweke utu mbele kuliko maslahi binafsi.
huu uzi ni wa 2017 unaweza kuwa ni reference tosha sana ila.mod waliupiga pini sijui kwa nini?Ofcoz, hata inasemekana kifo chenyewe kimejaa sintofahamu
All in all mzee alikua kaenda age sana
[emoji23]
Una akili ndogoKimsingi Kylin atarithi Sehemu kubwa ya Utajiri wa mengi.... Japo anahuzunika lakini moyoyii[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Human nature... hutaki kalambe loloooUna akili ndogo
maneno yako yametimia naona kama mange hizi picha zitamsaidia kiupelelezi
Mzee uliona mbali
hatimaye dakika 90 zilitimiaDakika za 90 mechi huwa fasta sana. Refa anakua makini mno,kocha anahakikisha wachezaji hawafanyi uzembe,golikipa anajipanga vyema,beki na viungo wanasimamia majukumu yao sawia huku mshambuliaji akiwa font front kuhakikisha timu inaibuka na shangwe.
Nambie kamanda
Baada ya Mwezi tangu uzi huu uandikwe akafariki Dunia.Huyu mzee ameamriwa kuwa kituko sasa kwenye jamii.
Hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe K-Lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.
Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.
View attachment 1060633