Hivi mzee ana Watoto wangapi?
Watu tunakuwa wasahaulifu sana. Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi(SUGU) kwa kumtaja jina, alimuita Waziri Mkuu MPUMBAVU bila ya kuwa na sababu yoyote ya msingi. Mbunge wa Ubungo, John Mnyika akamtukana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumtaja jina kuwa ni DHAIFU.
Inasikitisha sana kuona kauli ya Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Willium Mkapa kuwa baadhi ya wapinzni wanaosema wanataka kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa kutafsiriwa kuwa ni matusi kwa Wapinzani. Hivi ni mtanzania gani hajui Tanzania ilishatoka mikononi mwa Wakoloni?(Ilishakombolewa?)
Mzee Mkapa alitumia maneno sahihi kabisa kwa mtu ambaye anajitoa ufahamu wa ukweli wa jambo. Ni sifa gani ambayo inastahili kwa mtu anayetaka kulikomboa Taifa ambalo tayari lilishakombolewa? Anashindwa kweli kutumia hata maneno kama MABADILIKO na siyo UKOMBOZI?
wapinzani nawaonya msije mkakomalia kauli ya MKAPA na mkaacha kujikita kwenye agenda za msingi. Alichokisema Mkapa ni sahihi kabisa, Tanzania ilishakombolewa na kinachotakiwa ni MABADILIKO ambayo siyo lazima yaletwe na Wapinzani bali chamamchochote chenye MGOMBEA MWADILIFU na anayetokana chama chenye Sera safi na siyo UKOMBOZI.
wote tunaoamini Tanzania ni Taifa huru lazima tuungane na kauli ya MKAPA na pengine kauli hii iwe fundisho kwa wanasiasa wanaotumia maneno yanayowapotosha watanzania.
UKAWA ni malofa na wapumbavu
UKIWA UKAWA WEWE NI MPUMBAVU.
Kutokana na SUGU 2013 (BUNGENI) - alitoa maana ya upumbavu Kwa kusema hivi "NAOMBA TAIFA LIELEWE UPUMBAVU SIO TUSI, NI STUPIDITY, LACK OF KNOWLEDGE OF UNDERSTANDING"
Kwa wale wenzangu tusiojua Kiingereza (Sugu ana maana kukosa maarifa na uelewa ndiyo maana sahihi ya UPUMBAVU.
Hivyo UKAWA wote NI wapumbavu kwasababu zifuatazo
1. Kutanguliza FISADI papa kupambana na UFISADI.
2. Kuuza vyama vinne katika mnada mmoja na kutegemea Pesa za mabepari kufanya Kampeni bila kujua wanauza Nchi.
3. Kupambana na mfumo wa CCM kwa kutumia viongozi waliolelewa na mfumo wa CCM.
4. Kusahau kashfa na uchafu wote wa Lowassa ndani ya usiku mmoja.
5. Kuwataka Watanzania wenye ushahidi juu ya Lowasa waende mahakamani na kusahau kuwa walitutangazia wana ushahidi na kumtaka Lowassa kama anaonewa aende mahakamani.
6. UKAWA wote ni wapumbavu na marofa Kwa kupingana na kauli zao wenyewe juu ya UFISADI wa Lowassa.
7. UKAWA wote ni wapumbavu Kwa kushindwa kujua na kukemea ajenda ya siri iliyoanzishwa na chief Mareale na kuendelezwa na Mtei na 2012 kusimamia na Mpumbavu Joshua Nassari.
8. UKAWA wote ni wapumbavu kwa kushindwa kusimamia misingi ya uanzishwaji wa Ukawa na kuwapuuza waasisi wa UKAWA yaani Prof. Lipumba na Dr. Slaa.
9. UKAWA wote ni wapumbavu kwa kuwa kichaka cha kuficha wezi, mafisadi na wapumbavu wengine.
10. Ukiwa mwana UKAWA wewe NI mpumbavu Kwa kukubali kuburuzwa kama "mbuzi" na kushindwa kuhoji Lowasa NI msafi toka lini? Slaa, Mbowe, Lema, Mnyika, Lissu wanamtofautishaje Lowasa wa 2008 na 2015.
Jitafakari, Upo Ukawa hadi sasa? Basi wewe NI mpumbavu Kwa kushindwa kunielewa na kushindwa kujua nia ya mafisadi,Mabepari na wa walanguzi kumpeleka Lowasa ikulu.
Watu tunakuwa wasahaulifu sana. Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi(SUGU) kwa kumtaja jina, alimuita Waziri Mkuu MPUMBAVU bila ya kuwa na sababu yoyote ya msingi. Mbunge wa Ubungo, John Mnyika akamtukana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumtaja jina kuwa ni DHAIFU.
Inasikitisha sana kuona kauli ya Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Willium Mkapa kuwa baadhi ya wapinzni wanaosema wanataka kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa kutafsiriwa kuwa ni matusi kwa Wapinzani. Hivi ni mtanzania gani hajui Tanzania ilishatoka mikononi mwa Wakoloni?(Ilishakombolewa?)
Mzee Mkapa alitumia maneno sahihi kabisa kwa mtu ambaye anajitoa ufahamu wa ukweli wa jambo. Ni sifa gani ambayo inastahili kwa mtu anayetaka kulikomboa Taifa ambalo tayari lilishakombolewa? Anashindwa kweli kutumia hata maneno kama MABADILIKO na siyo UKOMBOZI?
wapinzani nawaonya msije mkakomalia kauli ya MKAPA na mkaacha kujikita kwenye agenda za msingi. Alichokisema Mkapa ni sahihi kabisa, Tanzania ilishakombolewa na kinachotakiwa ni MABADILIKO ambayo siyo lazima yaletwe na Wapinzani bali chamamchochote chenye MGOMBEA MWADILIFU na anayetokana chama chenye Sera safi na siyo UKOMBOZI.
wote tunaoamini Tanzania ni Taifa huru lazima tuungane na kauli ya MKAPA na pengine kauli hii iwe fundisho kwa wanasiasa wanaotumia maneno yanayowapotosha watanzania.
Kama ilisha kombolewa, mapinduzi ya nini?
1. Tena hao ambao wanakaa na kuanza kusema mkapa katukana nina mashaka hata kam nyumbani kwaoo wana kamusi, maana wangekua nayo walaasingekuahapaanasema mkapa katukana maana angekua anajua maana ya neno pumbavu.
2. kama ni tusi wakumbuke pia suguna mnyika wanaongoza kwa kutukana bungeni. kwa hiyo kama ni swala la kuchukuliwa hatua bas tuanze hao.
3. Watanzania wanaelewa na sio wajinga kama mnavyozani kua mnaweza mkawadanganya eti wachukie chama chao kisa mambo kama hayo. Asante mkapa, Asante magifili na Asante CCM. Mungu ibariki Tanzania Mungu Ibariki CCM.
Nani kasema mapinduzi..?