Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

hivi kwa akili yenu ndogo mnadhani mtu asiyejua sera za chama wala miiko yake hata mipango yake awe kiongozi mkuu inawezekana kweli! Tafakari, chukua hatua. Magufuli mpango mzima na atawavusha watanzania wala si lowahasa na duniii
 
Wenye kutafakari mambo kwa kina tumekuelewa sana na kifupi uko sahihi,
 
Mzee candidate wa Ukawa hajatulia kabisa ndio maana ni lofa na ...
 
Heee! Huyu ni huyu huyu Benjamin William Mkapa ninayemjua - basi mawili, anazeeka vibaya au alipanda jukwani akiwa amelewa viroba kama wafuasi wa upinzani amabao huwa indaiwa wanapewa viroba. Vile vile yawezekana ni ulevi wa kuvimbiwa baada ya kumlisha kwa kodi zetu sasa zinaturudia kwa matusi na si kejeli kama wengi wanavyojaribu kuipooza lugha kali aliyotumia tena kwa kurudia.
Yatosha kumshauri, bila kuona kama anadhalilika atuombe radhi watanzania, ambao ndio tunamlisha kwa kodi zetu mpaka hii leo, kwani amedhalilika zaidi kwa kauli yake hii. Lakini pia ningekuwa mimi ni mwenyekiti wa CCM ningejitenga na kauli ile kwa kuutangazia umma kuwa yale aliyoyasema Bwana Mkubwa Mkapa ni yake na si sera ya CCM kuwatusi wadau wake kwani nayo inapata ruzuku zitokanazo na kodi za hawa hawa wanaotukanwa.
Vile vile nashangaa tume ya uchaguzi, msajili wa vyama vya siasa na Bwana Mkubwa wa Polisi na vyombo vingine havijatamka neno licha ya kuwa lugha za kuudhi hazikubaliki na zinaweza kuzua hasira kwa upande wa pili na kupelekea machafuko.
Nchi hii ni yetu sote, tusikubali hawa waliovimbiwa kutuharibia nchi yetu ni lazima kuwakemea kwa umoja wetu.
 

ccm ni janga la kitaifa

kama kipindupindu
 
tulia tu boss

dozi itakutosha muda sio mrefu

Kukusaidia usiwe unasema hivyo kwa mwelewa kwani "hicho ni kivuli chako", ya usoni mwako unajitahidi kuyaficha kisogoni wakati ni yako. "Mgombea wenu fake.juma2 njema.
 
Kukusaidia usiwe unasema hivyo kwa mwelewa kwani "hicho ni kivuli chako", ya usoni mwako unajitahidi kuyaficha kisogoni wakati ni yako. "Mgombea wenu fake.juma2 njema.

asante

au ungependelea kikombe cha babu
 
asante

au ungependelea kikombe cha babu

Yesu alikufundisha Tajiri kuingia mbinguni hadi mujiza. Juma2 njema nawe fanya matendo ya huruma achana na matajiri lowasa anamarafiki zake sio wewe.
 

Attachments

  • 1440922686824.jpg
    31.5 KB · Views: 175
  • 1440922714050.jpg
    66.5 KB · Views: 167

Kwa kweli amevunja hikma labda kama siasa ndo huwaga hivo!
 
Last edited by a moderator:
Sikutumwa kuomba radhi wala mimi si msemaji wa chama. Lakini, kama kada wa CCM, najitokeza mbele yenu waungwana wa Tanzania kuwaomba radhi, kama alivyofanya jana Zitto Kabwe, kwa kuitwa wapumbavu na malofa. Najua kwenye jukwaa la kampeni, muongeaji hujawa na tashwishwi na hata mihemko ya hapa na pale. Mzee Mkapa aliteleza. Kuwaita wa vyama vya upinzani wanaojiita wakombozi ni mapumbavu na malofa haikuwa sahihi.

Jambo hili linakiathiri chama chetu cha mapinduzi na kuchora taswira hasi kwa wananchi. Si jambo dogo hata kidogo.Tafadhalini watanzania, tunawaomba radhi kama CCM na tunaahidi kutorudia tena. Tupeni nafasi ya kujirekebisha kama chama cha siasa chenye mkusanyiko wa watu na vitu. Nasema na kurudia,nyinyi wapinzani si wapumbavu wala malofa. Please, forgive and forget.

NYINYI WATANZANIA, WAKIWEMO WAPINZANI, SI WAPUMBAVU WALA MALOFA!
 
Wewe mwenyewe ni pmbf na lofer. Mtu akija kuomba radhi kwa jina la CCM ni kama umetuongezea tusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…