Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa yao ni moja tu hao MATAJIRI na WAJANJA wa Sisiem waliotuita sisi wananchi wao kuwa ni WAPUMBAVU na MALOFA nayo si nyingine bali kutumia 'vichinjio' vyetu yaani vitambulisho vya kupigia kura kwa 'kuwachinja'kwenye sanduku la kura hao waliolewa madaraka magambas.Yah kwa kuwa wamezoea mipasho na kuchezesha viuno!
Hao watakuwa wanaitwa mazuzu wa kutupa!SWALI LA LEO!!
Wanaojiita chama cha ukombozi wakati ukombozi ulishafanywa mwaka 1961 ni Malofa na wapumbavu,
Je wanaojiita CHAMA CHA MAPINDUZI wakati mapinduzi yalishafanyika 1964 na hakuna mapinduzi mengine wanaitwaje...??
Na wanaojiita Chama cha demokrasia wakati Wameshindwa kuisimamia demokrasia katika chama chao hawafai kabisa ni MALOFA TU
Wanaojiita chama cha ukombozi wakati ukombozi ulishafanywa mwaka 1961 ni Malofa na wapumbavu,
Je wanaojiita CHAMA CHA MAPINDUZI wakati mapinduzi yalishafanyika 1964 na hakuna mapinduzi mengine wanaitwaje...??
Hao wanapaswa kuitwa mazuzu wa kiwango cha juu kupita hata wale mazuzu walioko kwenye kile kikundi cha The Commedy!SWALI LA LEO!!
Wanaojiita chama cha ukombozi wakati ukombozi ulishafanywa mwaka 1961 ni Malofa na wapumbavu,
Je wanaojiita CHAMA CHA MAPINDUZI wakati mapinduzi yalishafanyika 1964 na hakuna mapinduzi mengine wanaitwaje...??
.. kapa anataka kuajiri mtu atakaelinda ufisadi wake ukiwemo udisadi wa gufuli,rizwan,jk. walimwogopa lowasa maana angaliwavunjavunja ccm na mafisadi yao yaka mkata jina
business as usual: urais wa hisani kana mwabudu sana jk jana kanainama sana kwake na kumkumbatia. hovyo kabisa
Gufuli anazungumza kufanya mabadiliko bila kujua. anadakia shauku ya watanzania bila kujua jamani mabadiliko wanayoyataka watanzania sio malalamiko aliyokuwa anaeleza jana eti tz inamifugo mingi serikali ya kipuuzi imeshindwa kuweka kiwanda cha nyama mara samaki wengi nchi haina kiwanda sio hayo kamwe.Mabadiliko ya watanzania ni kuizika ccm pamoja na kutenganisha siasa na serikali. kwa kweli ccm imetuonesha dhahili haina dira wala mwelekeo business as ussual.
Kama wapinzani ni wapumbavu na malofa yeye ni LODILOFA