Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

mkapa hakusema watanzania ni wapumbavu
alisema chama kinachojifanya ni cha ukombozi
leo baada ya 50yrs of independence ni
wapumbavu na malofa. Shida wewe na UKAWA
wote mmeona hamna hoja za kuzungumza sasa
hivi baada ya kila vipaumbele kuguswa not Dr
magufuli mnaanza kutafuta huruma ya
watanzania na kuanza kutoa sababu za
kushindwa sasa. Poleni sana uchaguzi huu
mmeshapoteza ccm watashinda mchana kweupe


Kwani chama ni nini? Chama si watu ambao ni wanachama??

Poor you!!!
 
Nimekuelewa sana mkali,japokuwa picha ni za zamani lakini mambo ni still the same....hali inatisha
 
uliona wapi chama hakina watu labda nikueleze chama ni watu

wanaposema ukombozi hawamaanishi ukombozi toka kwa mzungu bali ni ukombozi wa

UMASKINI
MARADHI
UJINGA
UFISADI

mambo ambayo tangu tupate uhuru yanatuksndamiza as if hatuna uongozi

hii ndo sababu huyo ndg kalela hizo PICHA ili wasioelewa waelewe


Kwann hajaleta picha za mambo mazuri yaliyotendeka hata kama ni machache. Na ni familia hyo tu. Nilisha shauli kama hatuna sababu ya kuleta mijadala bora humu jf ludin fb.
 
Ndugu mleta mada; Kwanza unaonekana hujui maana ya CHAMA CHA SIASA, Pili hivyo vipaumbele unavyosema "vimeguswa" na Dr. Magufuli, ni mara yako ya kwanza kuvisikia vikisemwa nyakati za uchaguzi? Kama hiyo sera ya elimu bure kuanzia shule za awali hadi sekondari kwa mara ya kwanza uliisikia ikiongewa na chama gani? Labda kama umri wako ni mdogo sana, lakini kama ni wa kitambo haya hukupaswa kuyaleta hapa kama ndiyo ushindi wa CCM. People have decided!!!.
 
Mbona mnatumia nguvu kubwa kuutetea upumbavu wa Mkapa?

Mkapa kawatukana watanzania kawaambia ni wapumbavu na malofa, period.

Ulofa wetu atauona tarehe 25 Oktoba.
 
Last edited by a moderator:
Kwann hajaleta picha za mambo mazuri yaliyotendeka hata kama ni machache. Na ni familia hyo tu. Nilisha shauli kama hatuna sababu ya kuleta mijadala bora humu jf ludin fb.

hizi ni picha za KILOFA. kama wewe ni miongoni mwa WADOSI wanaokula kuku kwa mrija, tuwekee picha za KIDOSI.
 
hizo picha ni za sehemu gani Tanzania maana mkoa wangu hauna hata sehemu 1 yenye hali kama hiyo
 
Nafikili Mkapa alitaka kusema wanaotaka ukombozi wa kiuchumi wa watanzania ni malofa na wapumbavu, anataka kusema kwamba yeye alipouza viwanda na vingine vikabadilishwa kuwa maghala ndiyo uhuru ambao vyama vya ukombozi vilipigania! alipoamua kujichukulia mgodi ndiyo uhuru uliopiganiwa kwa tafsiri yake. Au anataka kutuambia kwamba uwezo wake wa kufikiri unaishia kuiona bendera ndo iitwe uhuru? Mpaka sasa sijamwelewa.
 
Wewe ni mpumbavu kweli tena lofa. Kwani kuna chama tanzania ambacho wafuasi wake ni wakenye au waganda ?. Hivi hujui kuwa chama ni watu sio gogo? na watu wenyewe ni watanzania.

mkapa hakusema watanzania ni wapumbavu
alisema chama kinachojifanya ni cha ukombozi
leo baada ya 50yrs of independence ni
wapumbavu na malofa. Shida wewe na UKAWA
wote mmeona hamna hoja za kuzungumza sasa
hivi baada ya kila vipaumbele kuguswa not Dr
magufuli mnaanza kutafuta huruma ya
watanzania na kuanza kutoa sababu za
kushindwa sasa. Poleni sana uchaguzi huu
mmeshapoteza ccm watashinda mchana kweupe
 
Last edited by a moderator:
Mzee Mkapa atakuwa na matatizo ya ugonjwa wa kusahau.... Chama chake ccm kiliundwa na kupewa jina la "mapinduzi" ambayo kwa tafsiri isiyo rasmi ni "kuleta ukombozi/mabadiliko"..
Yeye aligombea ili alete ukombozi/mabadailiko...!!

Na juzi walipokuwa walipokuwa wakifanya uzinduzi sijuhiwalikuwa pale kwa sababu zipi tofauti na kuwaaminisha watu kuwa chama chao na mgombea wao wataleta ukombozi/mabadiliko makubwa na hivo kuboresha maisha ya watanzania...??!!

Sawa sisi ni "wapumbavu na malofa"..... Sasa sijuhi upumbavu na ulofa wetu ni kwa sababu tunakisakama chame chake ambacho kwa miaka mingi kimeshindwa kuleta mapinduzi na mabadiliko kwenye maisha ya watanzania....

Ni busara atafute muda aombe radhi la sivyo chama chake ccm kitakumbuna na nguvu za "wapumbavu na malofa".... tupo wengi kuwaliko wao "werevu na matajiri"..
 
nchi hii ilishakombolewa na wazee wetu wakiongozwa na mw. nyerere miaka dahali iliopita sasa anakuja mtu anasema anataka kutukomboa ni ukosefu wa akili tena narudia mpumbavu mkubwa

MPUMBAVU ni wewe na wapumbavu wenzako. nchi imepata uhuru wa bendera lakini bado haijakombolewa KIUCHUMI, KISIASA na KIFIKRA. mtapayuka sana mwaka huu na mwisho wa upayukaji wenu ni oktoba 25.
 
Naomba ni Quote part ya speech ya Major C.A Bach iliyotolewa kwa maofficer wanafunzi katika kambi ya pili ya mafunzo Fort Sheridan wakati wa vita kuu ya kwanza ya dunia,kwaajili tu ya viongozi wa CCM.

"Moral force is the third element in gaining Moral Ascendency.To exert moral force you must live clean; you must have sufficient brain power to see the right and the will to do the right.Be an example to your men! An officer can be a power for good or a power for evil.Don't preach to them~ that will be worse than useless.Live the kind of life you would have them lead, and you will be suprised to see the number that will imitate you.

A loud~mouthed, profane captain who is careless of his personal appearance will have a loud~mouthed,profane ,dirty company .Remember what I tell you .Your company will be the reflection of yourself!"

mkuu, i've read your quote between the lines. mkapa is in the company of his fellow savages.
 
Mkapa kasema Tanzania ilikwisha kombolewa Na Magufuli anasema ataejenga Tanzania tunamwomba mkapa tena atuampia kama ilikwisha jengwa au bado ili tumjue mpumbavu mwingine Na rofa
 
View attachment 280478
Bado nitasimamia ukweli wangu kwa alichosema Rais mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin william Mkapa ni sahihi kabisa jaribu kusoma kwa makini taaarifa hiyo hapo juu.
Pili mpumbavu ni mtu anaefanya jambo bila kufikiri khali akijua madhara yake huu ndio upumbavu hawa sumu mbili kuhamia ukawa na khali wanatambua kua ni chama kilichofungana na uchu wa madaraka,ukabila, udini na ukanda huo ni upumbavu
#hapakazitu
#huyundiokurayangu
#mwanamkeshujaa
 
What Mkapa did, calling people "------ and paupers" is a common trend in East Africa. In Kenya From Kenyatta, through Moi, Kibaki and back to Kenyatta Jr. they have freely insulted the Kenyan people as well as the neighbouring states. Kagame, Nkurunziza and Museveni regularly insult their respective citizens. Museveni describe his opponents as 'biological substance' who must be eliminated. Leaders of the Opposition are pigs, cockroaches, wild dogs, etc. Just try and imagine what past and present EAC leaders discuss at their private dinners?
 
Back
Top Bottom