Uchawi upo Hilo ni suala lisilo pingika nenda hata vitabu vya dini vimedokeza hayo.
Kuna watu wameishi San na wajerumani even waingereza means Babu zetu especially before ya uhuru.
Wajerumani wanauchawi wao ambao ulikuwa unaaminika kama self sacrifice huu uchawi waliudhihirisha pale baada ya kushindwa vita vya pili vya Dunia. Na ikalazika kuacha makoloni yote Africa tena bila kutoka na kitu chochote means madini, na maligafi zote walizokuwa wamechuma Africa ilitakiwa waziache kwenye hayo makoloni waliyokuwa wanayatawala.
Sasa Hawa jamaa walichokifanya
ni kutumia madini kutengenezea vitu kama pasi n.k ili watoke navyo, still mwingereza alishtukia Hilo deal.
Sasa hapo ndipo walipo aza kutumia huo uchawi wao wa self sacrifice zile pasi na vitu vinginevyo viliaza kutupwa au kufichwa ktk mito isiyo na speed ya maji, mapango kwenye mawe makubwa na misitu minene n.k,
Sasa ili kulinda Mali hizo ililazimika kama wapo sita mmoja wao anatolewa sadaka means unatolewa kafara ili kulinda hiyo Mali iliyofichwa coz zilikuwa na value kubwa mno ndiyo maana sehem nyingi zilipo fichwa Mali za mjerumani Kuna kila aina ya vitimbi mfano majoka makubwa minzinga ya nyuki wasio linika. Na hizo sehem ziliwekewa alama maalamu coz walijua ipo siku wataludi kuzichukua.
Hizo Mali unaweza kuziona Kwa macho ila kuchukua mtiti, unaweza kupoteza maisha au hata kuwa kichaa
Kuna sehem nying San Kwa hapa Tz walificha hizo Mali zao na watu mbalimbali walitaka kuzichukua walishindwa coz maeneo hayo Huwa hapakosi kuwa na majoka au joka kubwa au hata mzinga wa nyuki walio wakali balaa
Haya maeneo yapo njombe Kuna msitu waliweka Mali zao, Moro kuna mapango waliweka Mali zao hata mbeya Kuna mto walitupa pasi zao.