kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Je, ni kweli kwamba huyu mzee sasa anaenda rasmi kuwa msemaji wa yanga?
Habari ambazo hazijathibitishwa ni kuwa huyu mzee ana nafasi kubwa ya kupewa kazi hii na ameanza kufuta rasmi misimamo yake ya kutopeleka timu uwanjani siku ya tarehe 3 julai.
Wapenzi wa yanga tupeni maoni yenu
Habari ambazo hazijathibitishwa ni kuwa huyu mzee ana nafasi kubwa ya kupewa kazi hii na ameanza kufuta rasmi misimamo yake ya kutopeleka timu uwanjani siku ya tarehe 3 julai.
Wapenzi wa yanga tupeni maoni yenu