WAKO WAPI WATU WAKO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2017
- 2,373
- 3,139
Iweke kwa lugha ya Mwendazake Ili tujifunze kujadili Siriasi Ishu...!!! si kweri jameni..How to deal with the dependence syndrome on football financing in Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iweke kwa lugha ya Mwendazake Ili tujifunze kujadili Siriasi Ishu...!!! si kweri jameni..How to deal with the dependence syndrome on football financing in Tanzania.
we kakae naa upotolo wenzako muendelee kufuraia ushindiMzee itakuwa upo jamiiforum pekeee hujui mambo yanandaje kwingine
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Mzee wangu najua unasoma uzi huu sasa hivi nakuomba kwa niaba ya mashabiki wa Simba SC utusamehe kama tulikukwaza kwasababu umetuandamana sana.
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Usihofu kwani huyu Mze kwa sasa kaajiliwa na serikali ili wamkamate Kigogo.Mzee wangu najua unasoma uzi huu sasa hivi nakuomba kwa niaba ya mashabiki wa Simba SC utusamehe kama tulikukwaza kwasababu umetuandamana sana.
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Kaishia kwenye mikataba ya kibiashara now life safiPiere Liquid kaishia wapi?
Huyo ni mhuni tu,kinywani amejaza matusi badala ya meno.Huyu Mzee Mpili confidence anaitoa wapi na hayo mambo yake ya confidential na watu ni nani hao nchi hii
Maimani ya kishirikina tuManara ndio anawaponza, na leo kasema asipopewa 1 milion yake cha moto mtakiona.
Tz nchi ya ajabu San lol.Tumetoka kwa Dr Shika tumehamia kwa Mzee Mpili!
Nilikuwa sijaona clip akiwa na baiskeli yake ya manjano jana niliiona kweli mzee ana mdomo mchafu sanaMaimani ya kishirikina tu
Mzee ana mdomo mchafu mno
Piere Liquid kaishia wapi?