TANZIA Mzee Msegu amefariki dunia

TANZIA Mzee Msegu amefariki dunia

Jane Lowassa

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2016
Posts
4,955
Reaction score
9,041
Mzee Msegu wa Morogoro amefariki dunia leo. Alikuwa baba yao kina Elia Msegu na Andrew Msegu. Pia kipindi cha uhai wake alikuwa mchungaji. Sababu ya kifo aijatajwa
 
Mzee Msegu wa Morogoro amefariki dunia leo. Alikuwa baba yao kina Elia Msegu na Andrew Msegu. Pia kipindi cha uhai wake alikuwa mchungaji. Sababu ya kifo aijatajwa
Poleni wafiwa ...KGG amesemaje?
 
Anakipi cha kutufanya mpaka sisi wa Nuarugusu tumfahamu? Amewahi kushika nyadhifa gani katika nchi hii. Au hao watoto wake wana umaarufu gani ili na watu wa Loliomdo wamfahamu
 
Back
Top Bottom