Nitakuwa nikiwaarifu kila kinachoendelea,japo hapo amana wamlimpa tu huduma ya kwanza na mpaka saa mbili kasoro wahusika wa x-ray walikuwa bado hawajafika ndio wakamshauriana pamoja na yule dereva na kuamua wampeleke regency na mpaka mda huu bado wamekwama kwenye folen maeneo ya ilala wakielekea regency.Dah!! Pole Sana Mtambuzi, Cantalisia asante sana kwa taarifa naomba uendelee kutujuza maendeleo yake hapo Regency Hospital
Asante sana kichomiz,salam zimefika.Poleni sana nduguzanguni.
Amin kwa uweza wake atamponya.View attachment 39858
Ee MUNGU wa Rehema na Huruma nyingi,
nakuomba umpe uponyaji wa haraka Mtumishi wako,
ili arejee kwenye kazi zake.
Yes dereva amekubali kosa na baada ya ajali walishirikiana kumchukua mzee Mtambuzi na kumpeleka hospital na bado wako nae na wamekubali kushirikiana mpaka atakapopona.
Mi nampa pole sana mzee wetu, Mungu amjalie apone haraka. Kusema ukweli mi huyu chatu dume huwa ananipa taabu sana kusoma posts zake kwani hajui H inapaswa kuwekwa wapi.Kwa nini unadhani atapona bila kujaaliwa na Mungu?
Habari za asubuhi wadau,napenda kuwajulisha kuwa Baba yetu Mzee Mtambuzi amepata ajali asubuhi ya saa kumi na mbili leo ya kugongwa na gari daladala T.837 AUK na wakati akivuka barabara maeneo ya Tabata mawenzi ambato daladala hilo lilingia kushoto gafla likiovertake daladala lingine kuwahi abiria ndipo lilimkuta baba na kumgonga.Katika ajali hiyo baba amevunjika mkono wa kulia na yuko Amana hospitali kwa matibabu,mpaka naandika hii taarifa alikuwa bado anasubiri kufanyiwa kipimo cha x-Ray nakujua amevunji
https://www.jamiiforums.com/login.php?do=login
Hope hapa kwenye safari ulimaanisha salam! zimefika mkuu.mfikishie safari zangu na mpe pole sana
Amin,yani wale huwa muda wote wanawaza kuwahi abiria tu bila kujali watembea kwa miguu!Too sad, huu uzembe wa madereva utatumaliza sasa! Poleni sana jamani...