johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Freeman Mbowe ni Kiongozi mzuri ila kama walivyo Wafanyabiashara wengine wote anaangalia kwanza Faida katika jambo lolote Lile na CCM iliutumia vizuri sana huu udhaifu wake.
Tundu Lisu ni tofauti yeye ni mwanaharakati na Tanzania Kwa sababu ilishajipatia Uhuru wake Kutoka Kwa Mkoloni inachohitaji Sasa ni Harakati siyo Siasa.
Namkumbuka Edwin Mtei yule wa BoT alikuwa ni Kiongozi mwenye Msimamo Kweli Kweli hadi akatofautiana na Kambarage ila Mungu ashukuriwe alivyoingua Mzee Mwinyi akatumia Sera zile zile za Mtei na tukatoboa kama Nchi.
Edwin Mtei atampenda Tundu Lisu
Mlale Unono 😄😄
Tundu Lisu ni tofauti yeye ni mwanaharakati na Tanzania Kwa sababu ilishajipatia Uhuru wake Kutoka Kwa Mkoloni inachohitaji Sasa ni Harakati siyo Siasa.
Namkumbuka Edwin Mtei yule wa BoT alikuwa ni Kiongozi mwenye Msimamo Kweli Kweli hadi akatofautiana na Kambarage ila Mungu ashukuriwe alivyoingua Mzee Mwinyi akatumia Sera zile zile za Mtei na tukatoboa kama Nchi.
Edwin Mtei atampenda Tundu Lisu
Mlale Unono 😄😄