Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo chanjo za ndui,surua,polio,ukoma nk ulizochoma tangu utotoni Wazazi wako walidhithibitisha?Hivi hapa mtaalam ni nani?
Unataka kuniambia kupewa chanjo bure bila kujua aliyekupa aliigunduaje ndo utaalam?
Mbona mnadhalilisha taaluma?
Eti mtu anakwambia TUMEJIRIDHISHA. umejiridhisha nini?
ungekuwa na uwezo wa kujiridhisha si ungegundua ya kwako?
Jitafakalini mara mbili,msidhani kila mnayeongea naye ni mbumbumbu.
Hahahaha huyu Mzee alikuwa kauzu sana,umenikumbusha mkasa wa Mwameja.Nilitaka niandike wema hawadumu kumbe nimejisahau kama kagonga sabini na upuuzi,, suala la wema nikikumbuka ya Mohammed mwameja acha tu nifunge domo langu, by the way r.i.p
Huyu ndiye alishiriki ile deal ya kuuza Loliondo kwa waarabu hadi leo katuachia majangaBuriani ziko kibao
Kwani ukichanjwa ndio hupati virusi? au hutaugua? unajuaje kama hakuchanjwa ama alichanjwa? bwashee siku ikifika hata ufanyeje utaondoka tu.Apumzike kwa amani Muhidini Ndolanga.
Ila kwa mara nyingine tanzia zimekuwa nyingi wajameni.
Kwamba madaktari wa mikoa walipokutana majuzi walipendekeza chanjo ifanywe kuwa lazima?
Yawezekana hatuko vizuri kwani zile mortuary (wodi 26 au 10) hawa ndiyo haswa ziko mikononi mwao.
Eeh Mola wetu bora ungesema na yule Farao mwenyewe kabisa, vinginevyo mawazo yake hayatatoka kwenye urais, post 2025.
Kitenge: Kwanini Taifa Stars imeshindwa kuweka kambi kwa wakati?Mwamba mwingine baada ya Hanspope umeondoka
Juma Othman Kapuya akiwa Waziri wa Michezo na Hayati Said Hamad El mamry walitaka kumpeleka peleka wakajisahau kuwa Huyu Mmakonde alikuwa na misimamo yake
Akiwa Mkurugenzi wa Misitu aliwahi kumtwanga Makonde Waziri wake Hayati Sebastain Kinyondo ( Mzee wa Kiko)
Pole sana Maulid Baraka wa Kitenge kuondokewa na aliekuwa kiboko yako ya Interview
Hakuwa anaogopa Interview na Mwandishi yeyote na Majibu Sahihi utayapata tu
I wish zile Interview korofi za wakati ule ziwekwe hadharan watoto wamjue Jabali hili
Alikuwa fisadi acha wapungue. Bado Singh na Rugemalira na akina Jakaya KikweteMedani ya soka nchini imepata pigo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Alhaji Muhidin Ndolanga kilichotokea leo jioni Dar es Salaam
Ofisa habari wa TFF, Clifford Ndimbo ameiambia Mwanaspoti kuwa kifo cha Mzee Ndolanga kimetokea katika Hospitali ya TMJ
"Ni kweli shirikisho na familia ya mpira wa miguu tumepata pigo la kuondokewa na Mzee wetu Alhaji Muhidin Ndolanga aliyewahi kuwa Rais wa TFF kilichotokea leo katika Hospitali ya TMJ.
Kwa sasa taratibu za kuuhifadhi mwili wa Mzee wetu ndio zinaendelea hivyo taarifa rasmi kuhusu utaratibu wa mazishi zitatolewa," alisema Ndimbo.
Ndolanga atakumbukwa kwa misimamo yake pindi alipokuwa Rais wa TFF na kabla ya hapo akiwa mwenyekiti wa kilichokuwa Chama cha Mpira wa Miguu Tanzania (FAT) kuazia 1992 hadi 2004
Alikuwa ana maneno machafu sana huyu dingi,Buriani, Maulid Kitenge atakukumbuka daima kwa kile ulichokuwa ukimfanyia hewani live
Alikuwa jeuri na aliyekuwa anampa ujeuri alikuwa anajulikana,mbona badaye alikuja kutuliaMwamba mwingine baada ya Hanspope umeondoka
Juma Othman Kapuya akiwa Waziri wa Michezo na Hayati Said Hamad El mamry walitaka kumpeleka peleka wakajisahau kuwa Huyu Mmakonde alikuwa na misimamo yake
Akiwa Mkurugenzi wa Misitu aliwahi kumtwanga Makonde Waziri wake Hayati Sebastain Kinyondo ( Mzee wa Kiko)
Pole sana Maulid Baraka wa Kitenge kuondokewa na aliekuwa kiboko yako ya Interview
Hakuwa anaogopa Interview na Mwandishi yeyote na Majibu Sahihi utayapata tu
I wish zile Interview korofi za wakati ule ziwekwe hadharan watoto wamjue Jabali hili
Hivi alikuwaga TANAPA huyuPoleni ndugu ,jamaa na marafiki.
Ndolanga na Rage walitikisa sana medani za michezo hasa wakihojiwa na Kitenge enzi hizo.
Jibu hoja kwa hoja.
Tofautisha wataalam,na wanaokariri kilichogunduliwa na wataalam.
Si ajabu hiyo amri unayotoa kwa wasiokuhusu ni mojawaopo ya madhara ya kuchanjwa.
Kwani ukichanjwa ndio hupati virusi? au hutaugua? unajuaje kama hakuchanjwa ama alichanjwa? bwashee siku ikifika hata ufanyeje utaondoka tu.