Mzee mwenzangu mpweke njoo tumalizie maisha pamoja

Mzee mwenzangu mpweke njoo tumalizie maisha pamoja

Status
Not open for further replies.
Hello dear friends!

Nipo hapa kwenye hili jukwaa for the first time looking for a life partner wakumaliziana muda wetu wa maisha ulobaki hapa duniani. Ok sifa zangu ni hizi hapa. Am a woman of 33 yrs 5.6ft long, Christian, business woman, mweusi ila sio giza kabisa, 79kgs (weight) a single mother to one child, never married before. I have been single for a year now naona uvumilivu unaanza kunishinda hivyo nahitaji mtu special wakutulizana nae.

Any man from 40-45yrs namkaribisha anaehitaji rafiki badae mwenza wa maisha aje tujuane halafu mengine yatafuata kutokana na Mungu atakavyopenda iwe.

Pls I need only serious people jokes aside.
Kwa nini usimtafute huyo uliyezaa naye
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom