Mzee Mwinyi ametoa kitabu' ':- Mzee Ruksa: Safari ya Maisha Yangu

Vipi atauza apige hela au atagawa maskini wajisomee?
 
Sina pesa na muda wa kusoma vitabu Niko busy na mitungi
 
Ni yeye kakiandika? I mean amehusika na content ya kitabu? Mwinyi amezeeka sana na hana kumbukumbu. Au alikiandika siku za nyuma alipokuwa vizuri?
Sahiv hana kumbukumbu? Sure?
Hivi ukizeeka Sana kumbukumbu huwa Zinapotea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…