Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
subutu, bei yake 75,000 kwa wanao pre-order sasa ukichelewa utauziwa 100,000Vipi atauza apige hela au atagawa maskini wajisomee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
subutu, bei yake 75,000 kwa wanao pre-order sasa ukichelewa utauziwa 100,000Vipi atauza apige hela au atagawa maskini wajisomee?
Ila kuna watu wengine hawapotezi hata kidogo. Shangazi yangu alikufariki akiwa akiwa na kumbukumbu zote na alikuwa na miaka 103.Kuna bibi mmoja tulizika mwaka juzi, kafa na miaka 105, alikuwa nae anapoteza kumbukumbu
Sinunuisubutu, bei yake 75,000 kwa wanao pre-order sasa ukichelewa utauziwa 100,000
hata mimi sinunui mkuu, nasubiri kishuke bei hata mwaka 2025 ninunue kwa 2,000Sinunui
Mkapa na Mengi ndio reference ya Tz nzima🤣Tz hii ukitoa tu kitabu,ni kama umejiandalia safari refer Mkapa na Mengi
Amelenga wabunge, mawaziri, na wengine wenye pesa zaohata mimi sinunui mkuu, nasubiri kishuke bei hata mwaka 2025 ninunue kwa 2,000
Ukizeeka unarudi kua kama mtoto mdogo,ndio life cycle hiyo.Sahiv hana kumbukumbu? Sure?
Hivi ukizeeka Sana kumbukumbu huwa Zinapotea?
Lakini mkuu si mzee alishakuwa mwendazake?Baada ya kuandika " A knight in Africa: A journey from Bukene" , Andy Chande aliishi muda mrefu tu!! Usimtishe Kikwete aache kumalizia kitabu chake!
Mwendazake aliandika vingi tu,hadi kanisani alikuwa anahubiri yeye mwenyewe banaMbona Jiwe amerest ini pisi ilhali hajaandika kitabu chochote! Mungu akikutaka anakuchukua wakati wowote!
Elvis Musiba,Ben R Mtobwa,Munga Tehenan na Prof.Seity Chachage!Mkapa na Mengi ndio reference ya Tz nzima[emoji1787]
Usiandike kitabu uishi milele. 😶Elvis Musiba,Ben R Mtobwa,Munga Tehenan na Prof.Seity Chachage!
Ndio alikwishaondoka lakini muda mrefu baada ya kutoa kitabu chake!! Mzee Edwin Mtei aliandika " From goatherd to Governor" kabla ya hao wote waliotajwa lakini bado yupo anadunda!Lakini mkuu si mzee alishakuwa mwendazake?
Acha kususa mkuuUsiandike kitabu uishi milele. [emoji55]