Mzee Mwinyi: Rais Magufuli aongezewe muda wa miaka 5 zaidi kama shukrani

Mzee Mwinyi: Rais Magufuli aongezewe muda wa miaka 5 zaidi kama shukrani

"Mimi ni mzee sasa na maneno yangu pengine hudhaniwa ndoto za uzee. Ningetamani mambo mawili, moja la hakika lingine la kufikiriwa. La hakika tuwashawishi watanzania Rais wetu asipate kura ya kumkataa, mwenye kumkataa atupe sababu. La kufikirika ni kwamba nchi yetu inaendeshwa kwa Katiba na lazima tuienzi.

Lakini twaweza kuiahirisha kwa muda ili kumpa Rais Magufuli kipindi kingine kimoja cha asante kisha baadaye tuendelee vilevile, kwa sababu kuna mengi aliyonayo Magufuli akiondoka (baada miaka kumi) nchi itayakosa” Ali Hassan Mwinyi, Rais wa pili wa Tanzania na Rais wa 3 wa Zanzibar.


View attachment 1503855
Huyu mzee bana, sasa angepata wapi hiyo Benz aliyopewa zawadi Jana😃😃😃😃? Maana Magu alikuwa mkaksi kweli
 
Back
Top Bottom