TaiPei
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 572
- 608
Kuna kitu hapo aise, TuchunguzeNa wanaokufa ni Wabunge wa CCM tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu hapo aise, TuchunguzeNa wanaokufa ni Wabunge wa CCM tu?
PangusaMbona Zanzibar vifo vimezidi Sana, Kuna nini Zanzibar?
Kuna shida haswaaa,Itakuwa kale kaupepo labda
Sasa Macho yanashida gani?Hayo macho yamefanania na shangazi yetu mkuu, naye ni mzenji ila alibahatika kupata kazi ya maana hapa hapa kwa ma chogo
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Alikuwa Muwakilishi Jimbo la Dimani kupitia CCM ,pia alikua Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Ikulu wakati wa Mh.Karume na Dkt SheinView attachment 2393344
Inna lillah waina ilayhi rajiun Mhe Mwinyi Haji Makame ametangulia mbele ya haki saa hivi ameanguka ghafla nyumbani kwake amekimbizwa hospital hakufika.
Marehemu ni Mwakilishi wa ACT zanzibar
hahahahaMsilete taarifa za vifo vya wenyeviti wa vijiji hapa. Huyu Mwinyi Makame alihudumu wapi?
Mwakilishi wa ACT zanzibar