Mzee Reginald Mengi anasema passport ya Tanzania ni zaidi ya passport ya Uingereza

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Akiwa amesindikizwa na mkewe Jaqueline mzee Mengi anajivunia ujio wa passport zetu. Wale wa majuu ni kweli passport yetu ina Shonda ya Uingereza?

Tunaweza juwashinda kwa passport lakini wenzetu kwenye mipango yao wako makini sana. Hawana bomoa bomoa za kuacha raia hawana pa kukaa na pasi kifuta jasho.
Uhakika wa matibabu upo na wala si mpaka uwe bums ya afya

Mikopo ya elimu ni kwa wote, hata kaka mkubwa Le Mutuz akiamua kuingeza degree ya nne na ya tano anapata mkopo
 
Ni zaidi kwenye nini kasema?

Navyojua, Uthamani wa hati ni idadi ya boundaries unazoruhusiwa kupita nayo. Zingine ni sifa za nyongeza tu.

Ni sawa na useme pesa yetu ni zaidi ya dollar kwa muonekano ila si thamani.
 
Ni zaidi kwenye nini kasema?

Navyojua, Uthamani wa hati ni idadi ya boundaries unazoruhusiwa kupita nayo. Zingine ni sifa za nyongeza tu.

Ni sawa na useme pesa yetu ni zaidi ya dollar kwa muonekano ila si thamani.
Asante mkuu sikuwaza hilo, passport try unaingia Caribbean na South Africa na shit hole counties
 
Angalia vizuri key-board ya Pc au simu.
Kuna makosa mengi kwenye uandishi
 
Ni zaidi kwenye nini kasema?

Navyojua, Uthamani wa hati ni idadi ya boundaries unazoruhusiwa kupita nayo. Zingine ni sifa za nyongeza tu.

Ni sawa na useme pesa yetu ni zaidi ya dollar kwa muonekano ila si thamani.
exactly [emoji122]
 
huyo mzee nae anataka sympath ya jpm tu amalize uzee wake, eti passport ya TZ ni zaidi ya passport ya Uingereza...hahaha

kweli sizonje kawashika pabaya watasifia hadi visivyo stahili sifa.
We nawe akili hata huna...mzee kamng'ong'a sizonje hiyo comment yake ni very sarcastic!
 
Wengi wamedandia hii topic ya passport huku hawajui nini wanazungumzia.

Kilichofanyika ni enhancing security ya passport zetu. Yani kuzifanya ziwe kidigitali zaidi hivyo kuweza kupata na kutoa information za mwenye passport kwa haraka zaidi huku usalama wake ukiimarishwa. Kadhalika zitakuwa zinatengenezwa kwa uharaka zaidi tofauti na ilivyo Sasa

Mabadiliko ya pasi yanaendelea kwenye nchi nyingi tu Duniani eventually nchi zote. Tatizo watz muda wote tunawaza tunaibiwa tu

Tayari kuna airport Kama una passport zako za 2000s unachelewa kupita kuliko mtu mwenye pasi up-to-date

Chukulia mfano leseni za zamani za gari (tule tuvitabu) na leseni za Sasa. Ni hivyo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…