Asante sanaWengi wamedandia hii topic ya passport huku hawajui nini wanazungumzia.
Kilichofanyika ni enhancing security ya passport zetu. Yani kuzifanya ziwe kidigitali zaidi hivyo kuweza kupata na kutoa information za mwenye passport kwa haraka zaidi huku usalama wake ukiimarishwa. Kadhalika zitakuwa zinatengenezwa kwa uharaka zaidi tofauti na ilivyo Sasa
Mabadiliko ya pasi yanaendelea kwenye nchi nyingi tu Duniani. Tatizo watz muda wote tunawaza tunaibiwa tu
Chukulia mfano leseni za zamani za gari (tule tuvitabu) na leseni za Sasa. Ni hivyo tu
Kwa sababu hazienda nchi nyingi visa free basi zisiwe salama?Ni zaidi kwenye nini kasema?
Navyojua, Uthamani wa hati ni idadi ya boundaries unazoruhusiwa kupita nayo. Zingine ni sifa za nyongeza tu.
Ni sawa na useme pesa yetu ni zaidi ya dollar kwa muonekano ila si thamani.
Well saidKwa sababu hazienda nchi nyingi visa free basi zisiwe salama?
Ni sawa na kusema sababu nyumba yangu haina wageni wengi au huwa siendi popote Basi sihitaji ulinzi na usalama
Mbona hamkulalamika leseni za gari zilipobadilishwa kuwa digital? Nini kimebadilika baada ya leseni kuwa digital? Ni Bora leseni za Sasa au za zamani
Reginal Mengi ni mgonjwa
sawaWe nawe akili hata huna...mzee kamng'ong'a sizonje hiyo comment yake ni very sarcastic!
The issue hapa ni kusema ina ubora kuliko passport ya UingerezaWengi wamedandia hii topic ya passport huku hawajui nini wanazungumzia.
Kilichofanyika ni enhancing security ya passport zetu. Yani kuzifanya ziwe kidigitali zaidi hivyo kuweza kupata na kutoa information za mwenye passport kwa haraka zaidi huku usalama wake ukiimarishwa. Kadhalika zitakuwa zinatengenezwa kwa uharaka zaidi tofauti na ilivyo Sasa
Mabadiliko ya pasi yanaendelea kwenye nchi nyingi tu Duniani eventually nchi zote. Tatizo watz muda wote tunawaza tunaibiwa tu
Tayari kuna airport Kama una passport zako za 2000s unachelewa kupita kuliko mtu mwenye pasi up-to-date
Chukulia mfano leseni za zamani za gari (tule tuvitabu) na leseni za Sasa. Ni hivyo tu
Kwa sababu hazienda nchi nyingi visa free basi zisiwe salama?
Ni sawa na kusema sababu nyumba yangu haina wageni wengi au huwa siendi popote Basi sihitaji ulinzi na usalama
Mbona hamkulalamika leseni za gari zilipobadilishwa kuwa digital? Nini kimebadilika baada ya leseni kuwa digital? Ni Bora leseni za Sasa au za zamani
Umeniqoute ikabidi nizoom ID yako.
sijui hata nikujibu nini maana nilichocomment na ulichokuja kuqoute kwangu haviendani.
Jitahidi, usome uelewe na utafakari alichoandika mwenzako.
Hakuna sehemu nimeongelea usalama wa hati.
Hakuna sehemu nilipolalamika.
Umejitungia wazo ukalitolea maoni, ukajiuliza maswali, ukajijibu, ukahitimisha. Kai kai
Inawezekana. Inabidi kujua in details passport za England na hizi zetu mpya ndo tunaweza kujibu Hilo swali, labda Mzee Mengi ana info zaidiThe issue hapa ni kusema ina ubora kuliko passport ya Uingereza
Sababu hukuongelea usalama ndo maana nimekuquote
Umeongela mambo mengine ambayo hayahusiani kabisa na wanachojaribu kufanya kwenye hizi pasi mpya. Umechangia kitu usichokujia na kuuliza swali irrelevant
Security ya hizi pasi mpya imekua enhanced that's it. Zimekua digital kama leseni za gari. Wewe umekuja na mambo ya visa free, sababu hazienda nchi nyingi visa free ndo zisiwe salama?
Ubora wa hati ni upi? Ili hati iwe bora tunaangalia nini?Inawezekana. Inabidi kujua in details passport za England na hizi zetu mpya ndo tunaweza kujibu Hilo swali, labda Mzee Mengi ana info zaidi
Ninachofahamu passport za Uingereza zilikuwa biometric zaidi ya miaka kumi iliyopita, raia wanaorudi nyumbani wanascan fingerprints tu na information zako zote zinatokea kwenye screen na hiyo ni self check in-out huhitzji afisa wa immigration. Ninadhani hata Marekani ni hivyo kwahiyo tumeingia kwenye digital world lakin sisi hatujaanza.Inawezekana. Inabidi kujua in details passport za England na hizi zetu mpya ndo tunaweza kujibu Hilo swali, labda Mzee Mengi ana info zaidi
Kwanza huwezi kuilinganisha hati yenye visa-free nchi 157+ huku wewe unazo 70 na nchi zenyewe hazieleweki. Wenzetu tujilinganishe nao mengine ila sio technology otherwise kujifariji.Ninachofahamu passport za Uingereza zilikuwa biometric zaidi ya miaka kumi iliyopita, raia wanaorudi nyumbani wanascan fingerprints yu na information zako zote zinatokea kwenye screen na hiyo ni self check out huhitzji faida wa immigration. Ninadhani hata Marekani ni hivyo kwahiyo tmeingia kwenye digital world lakin sisi hatujaanza.
Ninachofahamu passport za Uingereza zilikuwa biometric zaidi ya miaka kumi iliyopita, raia wanaorudi nyumbani wanascan fingerprints tu na information zako zote zinatokea kwenye screen na hiyo ni self check in-out huhitzji afisa wa immigration. Ninadhani hata Marekani ni hivyo kwahiyo tumeingia kwenye digital world lakin sisi hatujaanza.
Mkuu kila ukirenew passport unapewa latest version. Tumeingia ndiyo lakini si kitu cha ajabuMkuu hakuna aliyesema sisi ni wakwanza ila sababu zetu na nchi nyingi ambazo zimeanza kufanya haya mabadiliko hivi karibuni basi kuna uwezekano zetu zikawa bora sababu zimeboreshwa zaidi, kama ulivyosema za UK na USA zipo hivyo for over ten yrs, mambo mengi hasa technology imebadirika sana ndani ya miaka 10.
Nitakupa mfano, TZ kwa miaka mingi sana tumekua na ATM cards za bank bora na secured sana kuliko nchi nyingi tu za western hasa USA. ATM cards zetu zenye chip ni secured kuliko zisizo na chip ambazo kwa miaka mingi ndo zimekua zikitumika USA, leo hii USA banks karibu zote zinabadilisha cards zao kuwa zenye chip kitu ambacho sisi tumekua nacho for over 10 yrs, sababu zao ni mpya basi kuna uwezekano zikawa even more secured kuliko zetu.
Dah kwa niaba ya wasukuma wamesema wamenuna [emoji23][emoji23][emoji23]Wanasemaga sifa za kijinga,, na hiz ndio hupendwa sana na wasukuma.