Mzee ruksa awalipua viongozi mafisadi

..hoja ya kupinga vita ufisadi imeshatekwa nyara na CCM.

..wapiganaji wameonyesha their true colors kwa kumsafisha JK pale wanapodai kwamba anaongoza vita dhidi ya mafisadi.

..baada ya kumaliza hilo hapo juu wameanza kukipamba chama chao mbele ya wananchi kwamba hakikumbatii ufisadi.

NB:

..kwa baadhi yetu ufisadi[madawa ya kulevya, utoroshwaji madini, usambazaji noti bandia, ukwepaji kodi,...] ulishamiri sana wakati wa utawala wa Mzee Ruksa.

..leo hii magazeti kumuandika Mzee Ruksa ati amewalipua mafisadi ni kujaribu kuchezea akili za wananchi.
 
Tutaona mengi sana kila tunapoelekea kwenye uchanguzi mkuu, Tatizo moja ni kuwa CCM hawawezi kujitengeanisha na ufisadi na ndio maana wanajaribu kufuata maoni ya watu, Labda Dr. Slaa ndiye anaweza kusema kuwa Mwinyi yupo sahihi au vipi?? Lakini wote ni wamoja na Wanachofanya ni kublind Watanzania na kutuzuga, Mwakyembe, Selelii, Kilango Waseme ni nani Fisadi yupo CCM?? Kama kwa tabia hii Watanzania wanachanganyikiwa mithili ya kichaa vile, CCM watajane Mafisadi au ile Orodha ya Dr Slaa ndio wanakubaliano nayo
 



Mkuu Kinepi hapo kwenye boldface nakubaliana nawe vizuri sana.Hawa walishajiandaa kuchukua nchi na mumewe.Sasa Mkapa alipowapiga chini ndipo wakaanza kujifanya wana uchungu na nchi.Hakuna mpiganaji hapa ni opportunist tu huyu mama hana lolote.
 
MZee yote kwa yote tumia busara zako jaribu kukaa na kijana wako dr. hussein mueleweshe maana ya kuwajibika, ile iliyotokea mbagala hana jinsi ni lazima awajibike, kwa heshima yako anaweza akakuelewa
 
Mkuu wangu hata sielewi kitu hapa nimetoka kapa..
Bila shaka unaelewa wazi kwamba Ubepaari una virusi vyake..na hivi vyote ulivyotaja ni vitu ambavcyo vilitakiwa kuwekewa kinga kabla hata ya kuingia Ubepari..
Bila shaka vilianza wakati wa Mwinyi, lakini sino sababu kabisa ya kusema magazeti yanasema vimelipuka wakati wa Mkapa wakati ndio ukweli wenyewe..Unachojaribu kupinga hapa hakina tofauti na baadhi ya watu wanaodai kwamba HIV ilianzia Uganda kuwa ndio sababu badala ya kufikiria tiba ya maradhi hayo kwa waathirika wetu..
Binafsi nadhani wakati wa kunyoosha vidole umepita, iwe hapa kijiweni au hao viongozi kwani kusema sana sii kutibu maradhi hata kidogo.. Tujiulize ni hatua gani hutumiwa kupambana na Pandemic.
1.Karantini na kuwatibu Wagonjwa...(kama dawa ipo), ambayo ni sawa na Kuwaondoa ktk Uongozi, kutaifisha mali zao, na kuwafunga mafisadi.
2. CHANJO kwa wananchi wote, ambayo ni sawa na kuweka sheria kali za kinga dhidi ya Ufisadi.
Hizi habari za viopngozi na sisi wananchi kuendelea kulaani Ufisadi wakati virusi vyake vinazidi kujijenga ndani ya cells za miili yetu ni kupoteza wakati na ubabaishaji wa siasa sizizojenga.
 

ndio maana huwa naikataa ile concept ya kwamba aliyekosea hawezi kufanya/kusema jambo jema........"eti hana moral nini sijui.......".....damn!......
 

- Wakuu vipi heshima mbele sana, habari za masiku jamani? Nilikuwa nimebanwa kidogo na bado ninarudi huko maporini si unajua kampeni zimekaribia, na tunaangalia anga za 2015!

- Naona kijiwe ni bomba na kuna habari njema kama hizi za kufunguliwa kwa wodi ya kinamama wajawazito kwa ajili ya jimbo na mkoa, licha mikoa ya jirani, naona hilo halikuonekana kabisa katika hoja nyingi ndani ya hii thread, sometimes tujifunze kushukuru mambo mema kwa wananchi na taifa letu. Mama Kilango Bravo na ubarikiwe kwa hili.

Respect na Ninarudi Maporini tena ndugu zangu, alamsiki nilipita tu kidogo, Bwa! ha!.

Field Marshall Es!
 
Ukishatoa yale maji una fanya rinsing chupa inakuwa 'imesafishika'...si sumu haiwezi kupenya chupa?

haiwezi kusafishika yenyewe, labda kimiujiza, inabidi uisafishe vizuri kabisa kwa kutumia chemikali za ku nutralize hiyo sumu ...vinginevyo tupa chupa nunua mpya
 


mafisadi hawakujipenyeza kwa bahati mbaya walialikwa na walikaribishwa kupitia mlango wa mbele wa CCM, kwa kupewa power ya kugombea majimboni na kupewa nyadhifa muhimu kabisa

Mimi naona hapo ni kinyume chake...gunia hili ni la chuya na punje mbili tatu za mchele

mbona hata hiyo katiba ya CCM inayosema usipokee wala kutoa rushwa hawaikumbatii? takrima sio rushwa?

Hivi hao wapiganaji wakiungana wajitoe CCM waanzishe chama chao itakuwaje?
 
Sidhani kama wapo siriazi kiasi hicho. Wanachofanya ni kuwaziba midomo wale wapiganaji kwa kujifanya wanawaunga mkono. Hana lolote, wale wale tuuuuuuuu
 
Jamani Vita dhidi ya ufisadi waanzilishi ni wakina nani?? CCM walikuwa wapi kipindi chote mpaka sakata la Mwembe yanga temeke?? CCM walete List yao ya Mafisadi labda ndio tunaweza kusema kuwa ni nani safi?? Je nani Fisadi ambaye anapiganiwa ndani ya CHAMA chao kizuri cha CCM
 

Waanzilishi ni CCM wenyewe!
 
Waanzilishi ni CCM wenyewe!
Hapana. Usijaribu kuandika historia upya. Makelele dhidi ya ufisadi yalianza kupigwa na Mzee Slaa. CCM wakamwita kila aina ya majina. Wakasema mambo BOT ni shwari. Au umesahau? Ni kwa nini Meghji alijiuzulu. Usijaribu kuandika historia na sisi watafuta ukweli tukiwa bado hai.
 

Menghji alijiuzulu? hii kali!
 
Nilikuwa nasoma kitabu cha Mwalimu cha freedom utashangaa sana kuona leo viongozi wetu wanajifanya wanafanya yale ya mwalimu lakini ni kinyume kabisa
 
Mzee Rukhsa is the father of change in Tanzania. It was necessary for him to take the country through that route due to the status we had. For those who can remember well: we used not have soap (we used ndulele for washing and some maganda ya miti), there was no garments even in the shops (you can rarely find the american scouts garments), people in southern TZ embarked to magamba ya miti for clothes, we went to school without shoes, the shorts had several virakas, it was a terrible situation. People were really poor. When Mwinyi came he didn't have option to loosen the nuts and lets people trade freely so that you can create a taxable society. When Mkapa came, he taxed the people as they can now pay taxes. So I salute Mzee Mwinyi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…