Wapi tulipocheza vizuriLakini tumecheza vizuri Sana
Pamoja na game kuwa kwao lakini wameshindwa kutupa raha na furaha!!! Kichwa cha mwendawazimu!!!Football ni entertainment tu...
Nimeudhika sana. Tulikuwa na uwezo wa kufunga hata 5. Tunacheza mpira kama hatushindanii chochote. Hopeless.Leo hii imedhihirika katika mechi na Zambia.
Pamoja na timu ya zambia kuonekana kupoteza matumaini kwa kucheza pungufu na kadi kibao za njano lakini wapi bwana!!!....bado kichwa cha mwendawazimu kimenyolewa.
Kwa mechi hii ya leo mmethibitisha udhaifu mkubwa, hata asiye kuwa mtaalamu wa mpira anaweza kubaini.
Tunasafari ndefu ya kujenga timu imara ya Taifa yenye muunganiko wenye viwango.
WAPI tumecheza vzr na zile back pass 😡😡 oya kama hujui mpira Kaa kmyLakini tumecheza vizuri Sana
kwan tumefungwa uko?Watu tuna hasira ya kufa mtu.
Yaani pungufu na tumepigwa.
Mbayaaa
Tatizo janja janja nyingi za mabao ya mikonoLeo hii imedhihirika katika mechi na Zambia.
Pamoja na timu ya zambia kuonekana kupoteza matumaini kwa kucheza pungufu na kadi kibao za njano lakini wapi bwana!!!....bado kichwa cha mwendawazimu kimenyolewa.
Kwa mechi hii ya leo mmethibitisha udhaifu mkubwa, hata asiye kuwa mtaalamu wa mpira anaweza kubaini.
Tunasafari ndefu ya kujenga timu imara ya Taifa yenye muunganiko wenye viwango.
uko wapi? niondolee ushamba hapa watu tumevurugwakwan tumefungwa uko?
Hawakubebwa bali wameshindwa kutumia fursa zilizo jitokeza.Nimetazama mpira kwa umakini mkubwa, ukweli ni kwamba viwango vyetu ni vidogo mno kulinganisha na viwango vya timu zingine!, vijana wamejitahidi pamoja na kubebwa, "" tujenge timu ambayo inaweza kuamua matokeo ya mchezo! Wakati wowote inapohitaji ushindi ""
Uwezo wa kufunga 5? Taifa stars ina uwezo wa kuifunga chipolopolo?? Utakuwa CCM kwa akili hizo.Nimeudhika sana. Tulikuwa na uwezo wa kufunga hata 5. Tunacheza mpira kama hatushindanii chochote. Hopeless.
wameshindwa kulinda hata hako kagoli kamoja tukaondoka na pointi 3 zetu?!!! Ovyo kabisa!!!Nimeudhika sana. Tulikuwa na uwezo wa kufunga hata 5. Tunacheza mpira kama hatushindanii chochote. Hopeless.