Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Hii habari ni ya leo kweli?Mzee Shareef Al Andal ambaye ni Baba Mzazi wa Sheikh Nudreen Kishk na Shareef Abdurgadil Al Andal amefariki majira ya saa sita mchana Wilayani Temeke
Mazishi yake ni leo baada ya alasiri na ataswaliwa Masjid Maamur
Atazikwa makaburi ya Kisutu Jijini Dar es salaam
Mtanzania
Hii habari ni ya leo kweli?
Okay labda kwa kuwa hawajaandika tarehe lakini mwandishi nadhani hajatumia maneno sahihi kufikisha ujumbe.Kwa mujibu wa gazeti la Mtanzania leo
amezikwa jana nadhani..Hii habari ni ya leo kweli?
Tangazo limetolewa na wahusika na gazeti la Mtanzania limewasilisha tangazo hilo asubuhi ya leo saa 2:42 bila kuongeza wala kupunguza nenoOkay labda kwa kuwa hawajaandika tarehe lakini mwandishi nadhani hajatumia maneno sahihi kufikisha ujumbe.
Washwahili mtanirekebisha kama nakosea.
Mhh hii habari pamoja na nia yako nzuri labda sio ya leo maana saa hizi hata mchana haijafika na wewe unasema kafariki saa 6 mchana. Katika mambo ya kuzingatia hasa ya kuandikia misiba hayaihitaji haraka.Mzee Shareef Al Ahdal ambaye ni Baba Mzazi wa Sheikh Nudreen Kishk na Shareef Abdurgadil Al Andal amefariki majira ya saa sita mchana Wilayani Temeke
Mazishi yake ni leo baada ya alasiri na ataswaliwa Masjid Maamur
Atazikwa makaburi ya Kisutu Jijini Dar es salaam
Mtanzania
Mheshimiwa Rais hatohudhuria baadae?Mzee Shareef Al Ahdal ambaye ni Baba Mzazi wa Sheikh Nudreen Kishk na Shareef Abdurgadil Al Andal amefariki majira ya saa sita mchana Wilayani Temeke
Mazishi yake ni leo baada ya alasiri na ataswaliwa Masjid Maamur
Atazikwa makaburi ya Kisutu Jijini Dar es salaam
Mtanzania digital
sawa sio alandal ni al-ahdal..
Inna lillah wainna ilayh raajiun,nafikiri amezikwa jana