mtaa umetulea
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 1,840
- 2,381
Wasifu wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
baba yake shekhe mmoja wa Dar..Ndo nani huyo mkuu..
Hamkulisoma mkakimbia mbio kulitoa. Hata watoa matangazo wanapaswa kushauriwa kama kuna ukakasi. Ona sasa mnapopolewa ninyi mwenye tangazo ametulia.Tangazo limetolewa na wahusika na gazeti la Mtanzania limewasilisha tangazo hilo asubuhi ya leo saa 2:42 bila kuongeza wala kupunguza neno
Huyo sheikh Kishki ndio yule wa albadir ya Afande Sele?😃😃baba yake shekhe mmoja wa dar..
Inna lillahi wainna illayhi rrajiuun.....Mzee Shareef Al Ahdal ambaye ni Baba Mzazi wa Sheikh Nudreen Kishk na Shareef Abdurgadil Al Andal amefariki majira ya saa sita mchana Wilayani Temeke
Mazishi yake ni leo baada ya alasiri na ataswaliwa Masjid Maamur.
Atazikwa makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam.
Mtanzania digital
hahaahahah yeye alikuwa amekaa chini yule ni mazinge..Huyo sheikh Kishki ndio yule wa albadir ya Afande Sele?😃😃
Bandeko nangai kulikoni kumzika mwendetu kwa kasi namna hiyoamefariki majira ya saa sita mchana