Uchaguzi 2020 Mzee Sumaye ahoji wapi alipo Mbowe katika kampeni za Lissu

Wapambe wa kaburu Mkoloni mweusi ndiyo mtaumia sana pindi mtukufu akirejea kijijini chato pindi Nchi ikiwa imepata uhuru upya na kutawala kwa misingi ya HAKI
We unaongea nini? Tanzania ipo huru wala hakuna mkoloni.. Uhuru na haki gani unaoutaka? Mbona nchi ipo huru na watu wanafanya mambo kwa uhuru,haki gani unayotaka? Maana kama ni haki watu wanapatiwa haki zao. Japokuwa kuna idara kama polisi na mahakama zina dosari kidogo
 

Angalia mkutano wa Kampeni wa Tundu Lissu KARATU utapata majibu:
 
Lissu hawezi kutoboa nini wakati anawalaza nje kila siku? Amewanyoosha sana. Polepole na bashiru wakawadanganya eti chadema imekufa wakati jiwe sasa anaenda gereji kila wiki.
 
Mimi ni mwana ccm lakini kamati kuu ya chadema ingempitisha Nyalandu kuwa ndio mgombea wa chadema, asee ccm ingeshinda kwa zaidi ya 99%,walau Lisu kaleta changamoto kidogo na i hope ameuchangamsha huu uchaguzi wa mwaka huu.

Kushinda, kuleta ushandani, na kuchangamsha hivyo ni vitu tofauti.
Kuchangamsha hata yule mzee wa ubwabwa anaweza kuchangamsha!

Sisi tunataka kushinda, na sio kuchangamsha.
Watu kutoka CCM huwa wana kitu ila tunashindwa kuwaheshimu.
Mfano wenye nguvu ED alijaribu kufanya kitu 2015 bahati mbaya akadakwa dk 90 kabla filimbi ya kumaliza mechi haijapulizwa.
Tunataka watu kama hao, sio waongeaji sana ila wana mipango.
 
Mimi sishabikii chama chochote lakini hoja nyingine ukizisikia unashangaa.
Mbowe naye sinimgombea sasa ataachia jimbo liende apigie mtu kampeni.
Sumaye atuambie amemwona Mwenyekiti wa CCM akiongozana na Mgombea wake kama kweli ni lazma kila Mgombea Urais atembee na Mwenyekiti wa Chama Chake.
 
Sijui huyu mzee anatafuta nini kwa Magufuli. Kama ni mashamba hayatarudishwa. Au naye anataka watoyo wake wakumbukwe kama wa Lowassa na Pinda.
 
Mbowe alishtukiwa zamani tu kama ni kijana wa mfumo, sema ilikuwa ngumu kumpata mtu wa kuthubutu kumwambia ukweli mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…