Uchaguzi 2020 Mzee Sumaye ahoji wapi alipo Mbowe katika kampeni za Lissu

Uchaguzi 2020 Mzee Sumaye ahoji wapi alipo Mbowe katika kampeni za Lissu

Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe kumtelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.

Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.

Sumaye anazeeka vibaya Yaani mbowe aache jimbo lakini kwenye Hujuma nyingi tokea kwa DC wa Hai aende alipo Lisu tena wakati Salum mwalimu yupo na Shehe ponda ameongeza hamasa zaidi
 
Hawa wakina sumaye hawatofautiani na vibinti vilivyozalia nyumbani
Sumaye ni zezeta anasaka uteuzi kwenye viti kumi ya Urais akihisi pengine mtukufu kaburu Mkoloni mweusi atarejea tena ikulu
 
Jamaa baada ya kichapo anarudi ulaya, maana kichapo kipo palepale. Lissu ataleta mabadiliko Cdm? Wapambe wa Lissu mtaumia sana.
Wapambe wa kaburu Mkoloni mweusi ndiyo mtaumia sana pindi mtukufu akirejea kijijini chato pindi Nchi ikiwa imepata uhuru upya na kutawala kwa misingi ya HAKI
 
Kweli hicho ndicho kilichopo kichwani mwa Sumaye ili kuiombea kura CCM?
Aliyempa jina la zero huenda hakukosea kabisa. Sumaye ana very low political IQ.
Hicho kibabu Sumaye ni zezeta hakijui kuwa jimboni Hai kuna shetani mkubwa anaitwa DC sabaya ni vigumu Mbowe aondoke amwachie jimbo atavuruga kila kitu
 
Fredrik Sumaye - Huyu tayari amekwama, Leo nimemsikia anauliza Mbowe anamsaidiaje Lisu kwenye kampeni badala yakueleza anamsaidiaje Mwenyekiti wake wa chama

Credit kwa Beatrice Kamugisha
 
Kichaa chake bado hajapona.
Hajui sheria zimebadilika, mgombea haruhusiwi kwenda kwenye kampeni jimbo jingine.
Wewe na sumu wote wajinga
Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe kumtelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.

Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.

 
Hilo lina ukweli, lakini tusisahau Mbowe ni hodari wa kudandia na kuruka, tefemea na hali ilivyo
 
Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe kumtelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.

Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.

Mr. Zero tumeamua kumpuuza
 
Sumaye naye kaishiwa tu . Lissu anamwona kapungukiwa nini??? Yuko fit, hoja motomoto, ccm hawana ubavu wa kuzijibu wamebaki na vihoja viso mashiko. Shame
 
Mimi sishabikii chama chochote lakini hoja nyingine ukizisikia unashangaa.
Mbowe naye sinimgombea sasa ataachia jimbo liende apigie mtu kampeni.
Jimbo moja unafanya kampeni kila siku? Mashabiki wa Upinzani mnajitoa sana ufahamu
 
Mimi sishabikii chama chochote lakini hoja nyingine ukizisikia unashangaa.
Mbowe naye sinimgombea sasa ataachia jimbo liende apigie mtu kampeni.
Alafu LISSU anajitosheleza, MaCCM kayakamata mbaka yanaogopa,

LISSU amepambana na kundi la waigizaji,kina mizengo pinda,Sumaye, Lowasa,W.Silaa,Majaliwa, Kikwete, Mzee Mwinyi,Kama kampeni zingeendelea walitamani wakawaamshe miili ya mwl.Nyeree na Mkapa wasaidie kampeni,
Huyu Malaya wa kisiasa anayedai hamuoni Mbowe amechanganyikiwa,

LISSU Jeshi la mtu mmoja ,anatosha kawagalagaza Hadi mmeyakumbuka matapishi.
 
M
Mimi sishabikii chama chochote lakini hoja nyingine ukizisikia unashangaa.
Mbowe naye sinimgombea sasa ataachia jimbo liende apigie mtu kampeni.
Mbona 2015 alimuuza Lowasa mpaka mwisho kwani hakugombea?
 
Back
Top Bottom