Uchaguzi 2020 Mzee Sumaye ahoji wapi alipo Mbowe katika kampeni za Lissu

Uchaguzi 2020 Mzee Sumaye ahoji wapi alipo Mbowe katika kampeni za Lissu

Mimi ni mwana ccm lakini kamati kuu ya chadema ingempitisha Nyalandu kuwa ndio mgombea wa chadema, asee ccm ingeshinda kwa zaidi ya 99%,walau Lisu kaleta changamoto kidogo na i hope ameuchangamsha huu uchaguzi wa mwaka huu.

Naaam
 
Mimi ni mwana ccm lakini kamati kuu ya chadema ingempitisha Nyalandu kuwa ndio mgombea wa chadema, asee ccm ingeshinda kwa zaidi ya 99%,walau Lisu kaleta changamoto kidogo na i hope ameuchangamsha huu uchaguzi wa mwaka huu.
 
Mbona mwaka 2015 alizunguka na Lowassa na Hai akafanya kampeni siku kumi.

Lowasa alikuwa na hela za bure na alikuwa hawezi kuongea jukwaani. Isitoshe Mbowe ndio aliyepokea hela ya Lowassa na viongozi kadhaa wa cdm, hivyo aliwajibika kuzunguka na kimeo chake. Lisu ni mgombea mwenye baraka zetu washabiki na wanachama, na hana hela za wizi kama Lowasa, isitoshe analimudu jukwaa vyema bila msaada wa mpambe yoyote.
 
Lowasa alikuwa na hela za bure na alikuwa hawezi kuongea jukwaani. Isitoshe Mbowe ndio aliyepokea hela ya Lowassa na viongozi kadhaa wa cdm, hivyo aliwajibika kuzunguka na kimeo chake. Lisu ni mgombea mwenye baraka zetu washabiki na wanachama, na hana hela za wizi kama Lowasa, isitoshe analimudu jukwaa vyema bila msaada wa mpambe yoyote.
Mnyika nae anakazi gani?
 
Sumaye Ana bahati Sana maishani mwake....level take ilikuwa Ni utendaji wa Kata na Vijiji!
Mimi sishabikii chama chochote lakini hoja nyingine ukizisikia unashangaa.
Mbowe naye sinimgombea sasa ataachia jimbo liende apigie mtu kampeni.
 
Lowasa alikuwa na hela za bure na alikuwa hawezi kuongea jukwaani. Isitoshe Mbowe ndio aliyepokea hela ya Lowassa na viongozi kadhaa wa cdm, hivyo aliwajibika kuzunguka na kimeo chake. Lisu ni mgombea mwenye baraka zetu washabiki na wanachama, na hana hela za wizi kama Lowasa, isitoshe analimudu jukwaa vyema bila msaada wa mpambe yoyote.
Ngoja nicheke tu,kwa hiyo amemtosa Lissu sababu hana pesa! Kumudu jukwaa sio sababu ya mwenyekiti wa chama taifa kuacha kumsapoti mgombea wake.
 
Uhalisia nikua kamati kuu haikuana mpango na Lisu wao walimtaka Nyarandu kwakua alisha jipanga katika swala la fedha za kampen. Walipo ona kuna shinikizo kutoka kwa wanachama wakaonaona isiwe tabu wamwachie Lisu msala alafu wao wa mute. Wanajua Lisu hawezi kutoboa na ndicho kinacho tokea

Nyalandu ni pandikizi
 
Muulize Mnyika mbona amekaa tu ofisini hasaidii kufanya kampeni nae hagombei jimbo lolote?

Kwa taarifa yako tuna imani na Tundu Lisu kuliko kiongozi yoyote huko cdm. Huyo Lisu ni kama Maalim Seif huko Zenj. Nadhani umeona Maalim Seif kahama CUF, saa hii CUF imedoda. Na hata cdm wangekosea na kumpitisha mgombea yoyote mbali ya Lisu saa hii wangefurahi.
 
Mimi sishabikii chama chochote lakini hoja nyingine ukizisikia unashangaa.
Mbowe naye sinimgombea sasa ataachia jimbo liende apigie mtu kampeni.
Alafu LISSU anajitosheleza, MaCCM kayakamata mbaka yanaogopa,

LISSU amepambana na kundi la waigizaji,kina mizengo pinda,Sumaye, Lowasa,W.Silaa,Majaliwa, Kikwete, Mzee Mwinyi,Kama kampeni zingeendelea walitamani wakawaamshe miili ya mwl.Nyeree na Mkapa wasaidie kampeni,
Huyu Malaya wa kisiasa anayedai hamuoni Mbowe amechanganyikiwa,

LISSU Jeshi la mtu mmoja ,anatosha kawagalagaza Hadi mmeyakumbuka matapishi.
 
Ngoja nicheke tu,kwa hiyo amemtosa Lissu sababu hana pesa! Kumudu jukwaa sio sababu ya mwenyekiti wa chama taifa kuacha kumsapoti mgombea wake.

Amemkacha wakati Lisu ndio mwenye mvuto kuliko yeye. Kwa taarifa yako Lisu ndio roho ya cdm na sio kiongozi yoyote ndani ya cdm, na hata hii sisi wapinzani kwenda kupiga kura, ni kwakuwa Lisu anagombea. Hao akina Mbowe walishatepeta na kwenda kuomba muafaka wa kipuuzi. Kama kuna muda nilimdharau Mbowe na viongozi wenzake, ni pale walipokodisha ndege na kwenda kwenye Sherehe za Uhuru kutaka muafaka wa kitaifa. Toka siku ile nilijua Mbowe hana jipya. Na hata sasa inabidi wapinzani wakae vizuri na Mbowe, maana anaweza kutumika na ccm kupooza mashambulizi ya Lisu.
 
Amemkacha wakati Lisu ndio mwenye mvuto kuliko yeye. Kwa taarifa yako Lisu ndio roho ya cdm na sio kiongozi yoyote ndani ya cdm, na hata hii sisi wapinzani kwenda kupiga kura, ni kwakuwa Lisu anagombea. Hao akina Mbowe walishatepeta na kwenda kuomba muafaka wa kipuuzi. Kama kuna muda nilimdharau Mbowe na viongozi wenzake, ni pale walipokodisha ndege na kwenda kwenye Sherehe za Uhuru kutaka muafaka wa kitaifa. Toka siku ile nilijua Mbowe hana jipya. Na hata sasa inabidi wapinzani wakae vizuri na Mbowe, maana anaweza kutumika na ccm kupooza mashambulizi ya Lisu.
Jamaa baada ya kichapo anarudi ulaya, maana kichapo kipo palepale. Lissu ataleta mabadiliko Cdm? Wapambe wa Lissu mtaumia sana.
 
Lowasa alikuwa na hela za bure na alikuwa hawezi kuongea jukwaani. Isitoshe Mbowe ndio aliyepokea hela ya Lowassa na viongozi kadhaa wa cdm, hivyo aliwajibika kuzunguka na kimeo chake. Lisu ni mgombea mwenye baraka zetu washabiki na wanachama, na hana hela za wizi kama Lowasa, isitoshe analimudu jukwaa vyema bila msaada wa mpambe yoyote.
Hili ndo linawanyima usingizi ccm jamaa anajua sheria anajua kuongea ana data za kila sehemu haogopi chochote si mapolic wa Bomu sasa kuna haja gani ya kumnadi mtu kama huyu yeye anajiuza
 
Back
Top Bottom