johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Waziri mkuu mstaafu mzee Sumaye baada ya kuona siyo rahisi kuondoa rushwa kwenye uchaguzi ndani ya CCM aliipa jina jipya na zuri la Takrima.
Watu wakapiga sana kelele lakini ndio hivyo hadi leo huwezi kushinda uchaguzi CCM bila kutoa takrima.
Mgombea anagawa baiskeli kwa wajumbe wote wa mkutano wa uchaguzi, hiyo ni takrima na Takukuru haiwahusu.
Mambo ni mengi ngoja niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Waziri mkuu mstaafu mzee Sumaye baada ya kuona siyo rahisi kuondoa rushwa kwenye uchaguzi ndani ya CCM aliipa jina jipya na zuri la Takrima.
Watu wakapiga sana kelele lakini ndio hivyo hadi leo huwezi kushinda uchaguzi CCM bila kutoa takrima.
Mgombea anagawa baiskeli kwa wajumbe wote wa mkutano wa uchaguzi, hiyo ni takrima na Takukuru haiwahusu.
Mambo ni mengi ngoja niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!