Mzee Tashrif kafariki leo na kazikwa leo. Waislam wanajua heshima, umuhimu na maana ya mazishi

hapa umedhihirisha ujahili wako km sio ukafiri
ina maana hata nguzo ya 5 katika uislam unaiita utalii sijawahi kuona mtu mwenye itikadi hii anayejinasibisha na uislam
 
Msiba huu wa bosi wa Tashriff unanikumbusha pamoja na ule wa Baba yake Gsm jinsi misiba yako ilivyokuwa simpo sana na kuna mmoja akasema huu msiba ungekuwa ndio upande wa pili mpaka muda huu ungesikia maziko yake yamepangiwa bajeti ya milioni 50 nakuendelea....ila maamuzi ya kiislamu nayaheshimu sana yani ukisema unataka uongeze kitu nafsi yako mwenyewe inakusuta,mfano kwa nafasi na mali aliyokuwa nayo marehemu tunataka kaburi lake lijengewe matofali na marumaru kuanzia chini hamna atakayekubali wazo ilo hata mmoja,saluti sana kwao
 
Umeshasema nchi za kiislam.
Kwa nini musiitekeleze hapa Tanzania kama inatekelezeka? Ni kwa sababu HAIWEZEKANI kutekelezeka kwenye nyakati hizi za dunia iliyostarabika na ni ukichaa huo.
Madam inatekelezwa kwenye nchi husika hakuna shida
 
Kwani zamani tanzania ilikua inatekelezwa?
Au imesitishwa lini tanzania kua na akili hata za kuvukia barabara kidogo.

Ndio mana tumetaja nchi zenye dola husika.
Haijawahi kutekelezwa Tanzania kwa sababu ni Sheria Kichaa ya enzi za mawe huko karne ya 7... Hata leo HAITEKELEZEKI.

Nyie si mnaifuata Quran vizuri, hebu itekelezeni hapa Tanzania tuone.
 
Haijawahi kutekelezwa Tanzania kwa sababu ni Sheria Kichaa ya enzi za mawe huko karne ya 7... Hata leo HAITEKELEZEKI.

Nyie si mnaifuata Quran vizuri, hebu itekelezeni hapa Tanzania tuone.
Sawa naona sasa ushajijua kama ni popoma ebu weka aya inayo sema hivyo.
 
Sawa naona sasa ushajijua kama ni popoma ebu weka aya inayo sema hivyo.
Usinichoshe. Kazi yangu ni kukuonesha wazi kuwa Quran sio timeless, kwa sababu baadhi ya maagizo yake YAMEPITWA NA WAKATI na hayatekelezeki katika ulimwengu huu wa leo.

Ndio maana hata nyie hapa Bongo hamuwezi kuwaua wanaouacha uislam... na mkijaribu mtanyea ndoo segerea wote.

Nimemaliza.
 

Umeshindwa vizuri ila kumbuka zipo nchi zinatekeleza
 
Upuuz. Dini ya ajabu sana. Ndo maana mtume wenu bila aibu alimbaka binti wa miaka sita. Hovyo sana dini yenu antalau kwa mbali uislamu wa bohora na ismailiya wanazika tofauti na nyie Waislamu waigaji waswahili. Waislamu wa Bohola na ismailiya poua sana.

Sasa tuseme Waislamu million hivi wafe kwa mkupuo fikiria iyo milima ya MAVI πŸ‘ŽπŸΏπŸ‘ŽπŸΏπŸ‘ŽπŸΏπŸ‘ŽπŸΏπŸ˜†πŸ˜†

INASIKITISHA na disgusting
 
Wakristo mnakua wajinga sana yni

Saaa si bora mtume wetu alooa kuliko nyie mapastor wenu wanowalawiti vitoto vdgooo

Ivi umelifikiria hili kweli?
 
Naam hiyo unayo ikashifu ndo dini yangu hongera unajua sana kukashifu je una matusi mengine?
 
mtu akitaka kuoa na aoe haraka sana vivyo hivyo mtu akifa na azikwe haraka sana iwezekanavyo, mtu akitaka kuokoka au kusilimu na afanyiwe hivyo haraka sana, safi sana. safi sana...acha watu watumie maarifa yao kutafsiri mambo yao
 
Hata Mtume ambaye ni kigezo chema hakuzikwa haraka!
[emoji116][emoji116]
"Mtume alifariki siku ya Jumatatu na akazikwa usiku wa Jumatano."

Hao wa haraka haraka wanamgeza na ni??
 
... hata biblia haijaainisha hvyo, imeainisha vilevile waislamu wanavyofanya
Mkuu hili andiko kuna siku nilisikia likisomwa but hadi leo natafuta fungu lake kwenye Bibilia, nisaidie kitabu lilipo.!.
 
Wakristo mnakua wajinga sana yni

Saaa si bora mtume wetu alooa kuliko nyie mapastor wenu wanowalawiti vitoto vdgooo

Ivi umelifikiria hili kweli?
Alioa ? Alioa eeeh. Alikuwa anapaka hina na wanja mwanaume mzima aibu aibu. Alikuwa akimnyonya ulimi na kumlamba mdomo mwanaume mwenzake Hussein msikitini akiwa uchi.

Hovyo kabisa
 
Mambo haya ya kuwaishana kuzikwa haya unaweza kuzikwa mzima mzima labda mtu ulilala Tu kidogo hiyo hapana siafiki

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Aisee yaani tuwapeleke watoto wetu wakasomee udaktari kwa miaka 12 kwa mamilioni ya Shilingi halafu waje washindwe kutofautisha kama mtu kafariki au kalala ? Tafadhali bana fanya heshima kidogo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…