BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Kuna mtu anaitwa Mzee Tyson pale WCB, yeye ndio anashare nyingi kuliko mtu yeyote kwenye ile kampuni. Tunaweza kusema yeye ndio mmliki halali wa WCB
Je, kuna mtu mwenye cv yake? Huyu mtu ni nani? Anafanya kazi gani hapa mjini
Je, kuna mtu mwenye cv yake? Huyu mtu ni nani? Anafanya kazi gani hapa mjini