Mzee wa kasumba NIMEDUKULIWA

Mzee wa kasumba NIMEDUKULIWA

mzee wa kasumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
1,440
Reaction score
2,952
SALAMU KWA MASIKITIKO

Taarifa rasmi ambayo nimeipata sasa hivi kutoka kwa mpenzi wangu ni kwamba ame DUKUA simu yangu.

Kwakuwa mwezi ulopita alisafiri, ameamua kudukua mawasiliano yangu kwa kigezo cha kunichunguza tabia zangu. Alichokutana nacho mpaka sasa anashindwa kuzungumza.

Nami baada ya kunipa taarifa hizi, sikuzifurahia kwakweli. Sasa wadau nauliza

NIFANYE NINI? / NIMFANYE NINI?


Nawasilisha
 

Attachments

  • Screenshot_20190406-145237.png
    Screenshot_20190406-145237.png
    75.4 KB · Views: 56
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]polee
 
piga chini.......
anatingisha kiberiti.....
 
Hahaha Kwanza tuambie amekuta nini?
Maana kama alichokuta ni kikubwa kuliko kukudukua ndio tutafahamu tukushaurije
 
Uzi na ka supporting evidence umenoga kweli kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]......By the way just stay calm mzee wa kasumba some wounds just heal with time

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom