Mzee wa kasumba NIMEDUKULIWA

Mzee wa kasumba NIMEDUKULIWA

Watu wengine wa hovyo kweli kwanini uingilie privacy ya mtu? Hata kama ni mwanandoa kila mmoja anatakiwa kua na privacy yake sio kwa maana ya kufichana au la. Ila mwenzio anatakiwa awe huru kufanya mambo yake akitaka kukwambia haya asipotaka usiforce. Huo sio ustaarabu hata kidogo.... she got what she asked for.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jf nilifikii ni home of great thinkers.
 
SALAMU KWA MASIKITIKO

Taarifa rasmi ambayo nimeipata sasa hivi kutoka kwa mpenzi wangu ni kwamba ame DUKUA simu yangu.

Kwakuwa mwezi ulopita alisafiri, ameamua kudukua mawasiliano yangu kwa kigezo cha kunichunguza tabia zangu. Alichokutana nacho mpaka sasa anashindwa kuzungumza.

Nami baada ya kunipa taarifa hizi, sikuzifurahia kwakweli. Sasa wadau nauliza

NIFANYE NINI? / NIMFANYE NINI?


Nawasilisha
Muulize ameamuaje kuhusu hilo?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengine wa hovyo kweli kwanini uingilie privacy ya mtu? Hata kama ni mwanandoa kila mmoja anatakiwa kua na privacy yake sio kwa maana ya kufichana au la. Ila mwenzio anatakiwa awe huru kufanya mambo yake akitaka kukwambia haya asipotaka usiforce. Huo sio ustaarabu hata kidogo.... she got what she asked for.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeipenda hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengine wa hovyo kweli kwanini uingilie privacy ya mtu? Hata kama ni mwanandoa kila mmoja anatakiwa kua na privacy yake sio kwa maana ya kufichana au la. Ila mwenzio anatakiwa awe huru kufanya mambo yake akitaka kukwambia haya asipotaka usiforce. Huo sio ustaarabu hata kidogo.... she got what she asked for.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo hio privacy mnaitumia vibaya wajameni. Mtu anataka privacy ili aongee na mahawara wake na wanaeza panga ukisafiri waje kutiana kwenye kitanda hiko hiko ulichochonga kwa pesa yako.

Mapenzi yalivyojaa utapeli sikuhizi amna namna zaidi ya kudukuliwa tu. Ni bora ujue kabisa unaishi na raia wa namna gani!
 
Back
Top Bottom