meghan markle
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 489
- 1,192
Mwambie huelewi anachokisema na hakuna kitu kama hichoNgoja nami nimtingishe mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize ameamuaje kuhusu hilo?SALAMU KWA MASIKITIKO
Taarifa rasmi ambayo nimeipata sasa hivi kutoka kwa mpenzi wangu ni kwamba ame DUKUA simu yangu.
Kwakuwa mwezi ulopita alisafiri, ameamua kudukua mawasiliano yangu kwa kigezo cha kunichunguza tabia zangu. Alichokutana nacho mpaka sasa anashindwa kuzungumza.
Nami baada ya kunipa taarifa hizi, sikuzifurahia kwakweli. Sasa wadau nauliza
NIFANYE NINI? / NIMFANYE NINI?
Nawasilisha
Nimeipenda hiiWatu wengine wa hovyo kweli kwanini uingilie privacy ya mtu? Hata kama ni mwanandoa kila mmoja anatakiwa kua na privacy yake sio kwa maana ya kufichana au la. Ila mwenzio anatakiwa awe huru kufanya mambo yake akitaka kukwambia haya asipotaka usiforce. Huo sio ustaarabu hata kidogo.... she got what she asked for.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa mkuu!sasa inazeeka.Jf nilifikii ni home of great thinkers.
Duuh
Tatizo hio privacy mnaitumia vibaya wajameni. Mtu anataka privacy ili aongee na mahawara wake na wanaeza panga ukisafiri waje kutiana kwenye kitanda hiko hiko ulichochonga kwa pesa yako.Watu wengine wa hovyo kweli kwanini uingilie privacy ya mtu? Hata kama ni mwanandoa kila mmoja anatakiwa kua na privacy yake sio kwa maana ya kufichana au la. Ila mwenzio anatakiwa awe huru kufanya mambo yake akitaka kukwambia haya asipotaka usiforce. Huo sio ustaarabu hata kidogo.... she got what she asked for.
Sent using Jamii Forums mobile app