Mzee wa Upako anasema kuwa Masikini ni Ufala!

Mzee wa Upako anasema kuwa Masikini ni Ufala!

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Sio maneno yangu ni ya Mchungaji Mzee wa Upako

Alipohojiwa na Times Fm

Kwani watu wanapenda kuwa maskini jamaa mbona huyu Baba anajisahau?!

We Mchungaji wewe Mungu anakuoonaa!

Video hapa chini inaeleza yote

 
Sio maneno yangu ni ya Mchungaji Mzee wa Upako

Alipohojiwa na Times Fm

Kwani watu wanapenda kuwa maskini jamaa mbona huyu Baba anajisahau?!

We Mchungaji wewe Mungu anakuoonaa!

Video hapa chini inaeleza yote

.
downloadfile.jpg
 
Hapo watu hawajaelewa vizuri. Hapo anaambiwa waumini wanaoishi kwenye umaskini wa kutupwa lakini wanampekelea mafungu ya kumi kuwa ni mafala! He is right!
 
Huyu Mzee wa upako sio mzima kichwani,,,,,labda ana bapa ya 2,watu wengi tanzania ni maskini(kwa hiyo wote ni mafala?)
 
Back
Top Bottom