Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #121
NASHANGAA!Unaowadanganya wakuletee sadaka ni mafala?
KWELIIIUmasikini ni hali ukipambana nayo unaikimbia. Ila huwezi kusema masikini ni fala. Mtu mzima mwenye akili timamu akifa kwenye umasikini wa kutupa unaweza kumtusi japo si sahihi huwezi kujua nini kilimpelekea kufa masikini wa kutupwa. Hivyo tuheshimiane kwa kila hali. Maana duniani watu wote hatuwezi kuwa sawa
ASITUKANE MASIKINI SASAHuyu mzee amehaso sana mpk kufika hapo, acha tu autukane umasikini.
Ivo ee?Ni kweli. Masikini hawaombi wawe masikini. Ila ukiwa huna hela jamani..unakuwa falaaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
chukua changamoto hiyo acha kulalamikaKwani watu wanapenda kuwa maskini jamaa mbona huyu Baba anajisah
Hamna changamoto hapo ameongea ujinga sanachukua changamoto hiyo acha kulalamika
Sina. Na mie fala tuIvo ee?
na wewe hela unayo au?
HeheehheSina. Na mie fala tu
HATAREE... NDIO RAHA YA KUSHIBA PESAYohana 12:8 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
8 Maskini wapo pamoja nanyi siku zote ila hamtakuwa nami siku zote. ”..hili zee limekengeuka sana baada ya kugundulika linapiga bapa..anajivika Uungu mpaka anapingana na maneno ya Yesu