Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena adi aambiwe mkewe mchawi?najiuliza hivi nae kaamini au?na je kama wametengana hiyo ndoa itarudi kweli?Maisha haya leo Lau Masha wa kuombewa kanisani et mambo hayaendi vizuri 😂😂😂😂😂😂
Yaani nimeshangaa.mental healthy is realMaisha haya leo Lau Masha wa kuombewa kanisani et mambo hayaendi vizuri 😂😂😂😂😂😂
Njaa haina Baunsa na shida zisikie tu
Mzee wa Upako Antony Lusekelo ajisalimisha kwa kiboko ya wachawi Buza kupata huduma
Nani anamloga huyo mzee wa Upako? Laa dunia hii isikie kwenye radio
View: https://youtu.be/uroyunKqUKc?si=jhR6j_wN_FHPZdD6
Hivi .Masha ni msukuma eeh?Tena adi aambiwe mkewe mchawi?najiuliza hivi nae kaamini au?na je kama wametengana hiyo ndoa itarudi kweli?
Laurence Masha na Ngeleja walikula maisha sana enzi za Kikwete ila maisha nayo hubadilika. Ngeleja bado yuko vizuri maana aliwekeza kwenye majumba lakini Masha yeye pesa ziliisha mpaka aliuza nyumba yake capripoint aliyopewa na baba yake kwa sh milion 700 bei ya kutupa.Maisha haya leo Lau Masha wa kuombewa kanisani et mambo hayaendi vizuri 😂😂😂😂😂😂
Njaa haina Baunsa na shida zisikie tu
Mzee wa Upako Antony Lusekelo ajisalimisha kwa kiboko ya wachawi Buza kupata huduma
Nani anamloga huyo mzee wa Upako? Laa dunia hii isikie kwenye radio
View: https://youtu.be/uroyunKqUKc?si=jhR6j_wN_FHPZdD6
Kuna dogo wake wakiume mmoja dah aisee ni mtihani kwelikweliMaisha haya leo Lau Masha wa kuombewa kanisani et mambo hayaendi vizuri 😂😂😂😂😂😂
Mkuu Pdidy mzee wa upako alikwenda mwezi wa tano huko nilikuwa pale kwenye hema la mirunda huyu Tito kaenda wiki hii wote waongo sanaKAANZA NABII TITO KWENDA BUZA
KAJA WA UPAKOOO
NXT NANI???
Wameenda hawajaendaaaa??Mkuu Pdidy mzee wa upako alikwenda mwezi wa tano huko nilikuwa pale kwenye hema la mirunda huyu Tito kaenda wiki hii wote waongo sana
USSR
Huyo lazima itakuwa ni zaidi ya hiyo kwani wanakuangalia na unavyokwenda,Na yeye kalipa kiingilio laki 5?