Mzee wa Upako Anthony Lusekelo alipotembelea kanisa la Pastor Dominique Dibwe, maarufu Kiboko ya Wachawi

Mzee wa Upako Anthony Lusekelo alipotembelea kanisa la Pastor Dominique Dibwe, maarufu Kiboko ya Wachawi

Shotocan

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
6,650
Reaction score
12,711


Njaa haina Baunsa na shida zisikie tu. Mzee wa Upako Antony Lusekelo ajisalimisha kwa kiboko ya wachawi Buza kupata huduma. Nani anamloga huyo mzee wa Upako? Laa dunia hii isikie kwenye radio.
 
mzee wa upakooo

hawa akuwa mke wa kwanza kwa Adam

haya wa kwanza nani?;,
Cha arusha hakinaga adabuu
 

Attachments

  • Screenshot_20240713-125150_Lite.jpg
    Screenshot_20240713-125150_Lite.jpg
    329.1 KB · Views: 16
KAANZA NABII TITO KWENDA BUZA

KAJA WA UPAKOOO

NXT NANI???
 

Attachments

  • Screenshot_20240713-125058_Lite.jpg
    Screenshot_20240713-125058_Lite.jpg
    343.1 KB · Views: 18
  • Screenshot_20240713-125053_Lite.jpg
    Screenshot_20240713-125053_Lite.jpg
    348.1 KB · Views: 16
Maisha haya leo Lau Masha wa kuombewa kanisani et mambo hayaendi vizuri 😂😂😂😂😂😂
Laurence Masha na Ngeleja walikula maisha sana enzi za Kikwete ila maisha nayo hubadilika. Ngeleja bado yuko vizuri maana aliwekeza kwenye majumba lakini Masha yeye pesa ziliisha mpaka aliuza nyumba yake capripoint aliyopewa na baba yake kwa sh milion 700 bei ya kutupa.

Niliongea na baba yake hata naye haikumpendeza,.. lakini aliongezea kusema kitu ukimpa mtoto siyo chako tena anaweza kufanya atakavyo.

Pesa kama huna cash flow kuisha siyo muujiza. Mpaka mtu aamue kuuza nyumba iliyo kwenye eneo potential kama capripoint maana yake alikwama pa kushika.

Yeye kazaliwa na kusoma Marekani hivyo hekaheka nyingi za mtaani haziwezi.

Maisha ni mapambano. Bado kijana bila shaka atainuka tena!

Halafu nakutafuta sana! 🖐
 
Njaa haina Baunsa na shida zisikie tu
Mzee wa Upako Antony Lusekelo ajisalimisha kwa kiboko ya wachawi Buza kupata huduma
Nani anamloga huyo mzee wa Upako? Laa dunia hii isikie kwenye radio


View: https://youtu.be/uroyunKqUKc?si=jhR6j_wN_FHPZdD6

Hii ya zamani sana zaidi ya mwezi ,hawa manabii wanamtandao mkubwa na hutembeleana ,kiboko hana pesa kumzidi mzee wa upako,kiboko ni mtoto sana nafahamu zaidi na zaidi

USSR
 
Sema wengine ni wachawi hujisalimisha wenyewe kwa kiboko wa wachawi kuogopa kufanyiwa kitu kibaya baada ya yeye kuwaona na darubini zake

Kutaka yaishe huenda mbio kwake kumwangukia kuwa yaishe
 
Back
Top Bottom