Mzee wa Upako Anthony Lusekelo alipotembelea kanisa la Pastor Dominique Dibwe, maarufu Kiboko ya Wachawi

Mzee wa Upako Anthony Lusekelo alipotembelea kanisa la Pastor Dominique Dibwe, maarufu Kiboko ya Wachawi

Wadau hamjamboni nyote?

Nukuu ya Mzee wa Upaka

"Msikimbilie kuja kanisani kwangu tumejaa na kwanza nimeshazeeka mungu ameinua watu wengi saivi nguvu ya upako kubwa ipo Buza kwa Lulenge kwa kiboko ya wachawi nendeni huko mkapate upako" - Mchungaji Anthony Lusekelo, mchungaji rafiki wa karibu zaidi wa kiboko ya wachawi aliyefungiwa

Muwe na siku njema wapendwa
 

Attachments

  • 1722244812516.jpg
    1722244812516.jpg
    322.4 KB · Views: 5
Wadau hamjamboni nyote?

Nukuu ya Mzee wa Upaka

"Msikimbilie kuja kanisani kwangu tumejaa na kwanza nimeshazeeka mungu ameinua watu wengi saivi nguvu ya upako kubwa ipo Buza kwa Lulenge kwa kiboko ya wachawi nendeni huko mkapate upako" - Mchungaji Anthony Lusekelo, mchungaji rafiki wa karibu zaidi wa kiboko ya wachawi aliyefungiwa

Muwe na siku njema wapendwa
Walewale
 
Haya makubaliano yalitakiwa yawe kwamba kwa mfano, mimi nikienda kumuona, yeye ndiyo anilipe mimi hizo laki 5
 
Hawa matapeli wana group lao la WhatsApp admin ni Mwamposa
Wewe kapuku umetapeliwa nn.....
Inamaana watu woote hapo na kwa mwamposa hawana akili na wala hawajitambui ww mmoja unawazidi au siyo.....kuku ww
 
We ni Punda wa mwamposa
Sawa acha niwe punda kwa mtazamo wako
Usjidai ww una akili kushinda maelefu ya watu wanaokwenda kwa mwamposa fala ww wapo watu wana maisha wana elimu zao tena za ulaya huko na Amerika wana utajiri wao sa hao ww unawazidi nn ww kichaa kbs ww.
Fatilia mambo ujue kwann watu wanaenda si kupiga mdomo humu kwa keyboard matako ww hata ww ukiwa na suluhisho la matatzo ya watu waty watakufata tu huitaji kuwashawishi sengerema ww.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nukuu ya Mzee wa Upaka

"Msikimbilie kuja kanisani kwangu tumejaa na kwanza nimeshazeeka mungu ameinua watu wengi saivi nguvu ya upako kubwa ipo Buza kwa Lulenge kwa kiboko ya wachawi nendeni huko mkapate upako" - Mchungaji Anthony Lusekelo, mchungaji rafiki wa karibu zaidi wa kiboko ya wachawi aliyefungiwa

Muwe na siku njema wapendwa
Jamaaa siku nakunywa nae rainbow Beach gizaniii nilichekaa sana

Nkaenda kukojoa

Pemben ya gari lake pemben ya ukuta kwa mbali kidogoo nkakuta vijana wawili wanampigisha pushup malaya mmoja nkataman kumwambia kaangalie pemben ya gariyako wanafanya nn...
 
Na bado huyo mzee wa upako atawehuka kabisa...kwa kutoa mafundisho ya uongo...
 
Back
Top Bottom