Ukiniletea documents kuonesha kusaga anahisa nakupa mke wanguNi jambo la aibu kwa kijana mdogo kama wewe kuendeshwa kwa mawazo ya kidini.
Kwenye hisa nyingi Wasafi Media ni Joseph Kusaga hivi unayo hii habari?!
Na sis wakristu tuanzishe ya kwetu. Tuache lawama za kipuuziWcb ni muslims usitegemee kabisa alafu mzee wa upako shombo nyingi
Mzee wa upako baada ya kuona wasafi tv kuna kipindi cha nyumba ya imani nayeye akaomba awe anaendesha kipindi chake siku ya jumapili lakini ombi hilo limekataliwa na mkurugenzi wa vipindi na uendeshaji bibie zamaradi mketema kwa maelekezo ya mwenye hisa nyingi
Hivi nyie kwanini mna kazana kumchafua Diamond?Wcb ni muslims usitegemee kabisa alafu mzee wa upako shombo nyingi
Ndiyo alimsifia hata mie niliiona hiyoAlimsifia Mondi kwamba ni mnyenyekevu na moyo wa kusaidia..upande wa pili akamponda sna mzee wa yeooooooh Kiba kuwa jamaa ni selfish sana na kibri mno.
Kumbe Mzee wa bapa alitoa yale maneno kimkakati..hahahaa
Da Mange kasema hivyo?Boss Jo kumbe ni muslim???
Hapana akiwa times alisema chibu hajui kitu niwaajabuPost yako ina element ya udini, naona watu hawajagundua hilo...
Leo mpaka team yoooooh mpo kwa mond πππππNi jambo la aibu kwa kijana mdogo kama wewe kuendeshwa kwa mawazo ya kidini.
Kwenye hisa nyingi Wasafi Media ni Joseph Kusaga hivi unayo hii habari?!
Ana hisa nyingi hapo wcbKwani boss Joe ndo mkurugenzi wa WCB?
Utakuwa umechanganya ..