Mzee wa Upako awananga Wanafunzi wa UDSM kwenye kipindi cha tutashinda Channel 10 leo jumamosi 25/4/2020

Mzee wa Upako awananga Wanafunzi wa UDSM kwenye kipindi cha tutashinda Channel 10 leo jumamosi 25/4/2020

Victor Mlaki

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
4,151
Reaction score
4,277
Nimemfuatilia kwa karibu sana mwanzo mwisho na nilichojifunza ana mafundisho mazuri sana ila kuna kosa kubwa amefanya la kutaka Wanafunzi wa UDSM kuwa ni wakosoaji wa Watumishi wa Mungu huku wakiwa hawaelewi chochote kuhusu imani.

Anaendelea kusema Utumishi ni taaluma unapaswa kuheshimiwa na siyo kila mtu kujifanya anajua. Jambo ni zuri ila nimejiuliza ni kwa nini ametaja UDSM?

Au vijana wa UDSM wamekuwa wakosoaji sana kwenye mafundisho yake kuliko wengine?

Au kwa sababu wanakaa Mabibo Hostel karibu na Kanisa lake?

Je hakuna w
Wasomi kutoka vyuo vingine wanakosea watumishi wa Mungu?

Kuna mahali amekosea.
 
Useme kemikali ya amfifiro kanisani lazima mtaalam akukosoe

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
labda hao wa UDSM walimuuliza 'inakuwaje unafufua,viwete wanapona lakini unashindwa kutibu tukorona.!?'
 
labda hao wa UDSM walimuuliza 'inakuwaje unafufua,viwete wanapona lakini unashindwa kutibu tukorona.!?'
Yaani alikuwa unaongea kanakwamba Udsm ni wapingaji wakuu wa Wachungaji.
 
Nimemfuatilia kwa karibu sana mwanzo mwisho na nilichojifunza ana mafundisho mazuri sana ila kuna kosa kubwa amefanya la kutaka Wanafunzi wa UDSM kuwa ni wakosoaji wa Watumishi wa Mungu huku wakiwa hawaelewi chochote kuhusu imani.

Anaendelea kusema Utumishi ni taaluma unapaswa kuheshimiwa na siyo kila mtu kujifanya anajua. Jambo ni zuri ila nimejiuliza ni kwa nini ametaja UDSM?

Au vijana wa UDSM wamekuwa wakosoaji sana kwenye mafundisho yake kuliko wengine?

Au kwa sababu wanakaa Mabibo Hostel karibu na Kanisa lake?

Je hakuna w
Wasomi kutoka vyuo vingine wanakosea watumishi wa Mungu?

Kuna mahali amekosea.
Hao siyo watumishi wa Mungu bali wanatumikia matumbo yao, ni wahuni na majizi yanayotumia jina la Yesu kujitajirisha, yeye alishasema kuwa maskini ni ufala
 
Back
Top Bottom