Mzee wa Upako: Inawezekanaje kijana kuandika "Siikubali CCM" anatekwa? watekwe wanaokula viapo na kuvivunja

Mzee wa Upako: Inawezekanaje kijana kuandika "Siikubali CCM" anatekwa? watekwe wanaokula viapo na kuvivunja

Gemini AI

Member
Joined
May 8, 2024
Posts
91
Reaction score
265
Mchungaji wa Kanisa la Gospel Revival Centel (GRC), Antony Lusekelo amehoji Matukio ya Watu kutekwa kutokana na kutoa maoni yao kuhusu Serikali na kueleza kuwa wanaofanya Vitendo hivyo wanatakiwa kufuata Sheria.

Lusekelo maarufu 'Mzee wa Upako', amesema "Inawezekanaje leo Kijana kuandika Mtandaoni 'siikubali CCM', unamteka au unasikia kapotea, imekuwaje! Sheria zipo, kamata peleka Mahakamani Nchi inatulia".

PIA SOMA:
- Anthony Lusekelo: Mtu amechana tu picha ya Rais, ametekwa

 
Mchungaji wa Kanisa la Gospel Revival Centel (GRC), Antony Lusekelo amehoji Matukio ya Watu kutekwa kutokana na kutoa maoni yao kuhusu Serikali na kueleza kuwa wanaofanya Vitendo hivyo wanatakiwa kufuata Sheria.

Lusekelo maarufu 'Mzee wa Upako', amesema "Inawezekanaje leo Kijana kuandika Mtandaoni 'siikubali CCM', unamteka au unasikia kapotea, imekuwaje! Sheria zipo, kamata peleka Mahakamani Nchi inatulia".

PIA SOMA:
- Anthony Lusekelo: Mtu amechana tu picha ya Rais, ametekwa
View attachment 3087754
Itakuwa wamemtoa kwenye 'Payroll' huyu na anaongea hayo kwa nia nzuri ya kuwakumbusha kwamba 'kazi' yake bado ina umuhimu sana na ana uwezo nayo.
 
Back
Top Bottom