Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hao wachawi walimpa idadi yao au yeye alianza kuwahesabu mmoja baada ya mwingine? Na wanaenea vipi watu laki saba na ushee kwenye chumba kimoja??Jamani haya makanisa yatutoa roho leo nilikuwa naagalia startv mara nikaona kuna nabii anaitwa joel (kama sijakosea )alikuwa anasema eti ameingiliwa na wachawi laki saba na 80 hotelini alikokuwa amelala!!! Yaani nimewaza sana hivi kwl inawezekana kwl????