Mzee wa Upako: 'Tano Tano', 'Kusanya Kusanya'

Anatumia fulsa na mi nataka kuanzisha kanisa langu ,hivi kuanzisha msikiti haulipi?????????
 
Kwa hiyo hao wachawi walimpa idadi yao au yeye alianza kuwahesabu mmoja baada ya mwingine? Na wanaenea vipi watu laki saba na ushee kwenye chumba kimoja??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…