Jamani haya makanisa yatutoa roho leo nilikuwa naagalia startv mara nikaona kuna nabii anaitwa joel (kama sijakosea )alikuwa anasema eti ameingiliwa na wachawi laki saba na 80 hotelini alikokuwa amelala!!! Yaani nimewaza sana hivi kwl inawezekana kwl????