cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 96,456 Reaction score 156,324 Jun 13, 2021 #21 Stephen Chelu said: Mkuu, ushasahau mara hii!?[emoji3][emoji3] Ni 'Steps, one step ahead every day' Kwa lisauti flani lizito hivi. Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23] kama la burna boy.
Stephen Chelu said: Mkuu, ushasahau mara hii!?[emoji3][emoji3] Ni 'Steps, one step ahead every day' Kwa lisauti flani lizito hivi. Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23] kama la burna boy.
kalagabaho JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 5,457 Reaction score 5,893 Jun 13, 2021 #22 sky soldier said: hahha jamaa nakumbuka ndie akienifanya nipate mwanga wa sheria nilipokua shule ya msingi enzi hizo Click to expand... We kiboko ! shule ya msingi tu ushapata mwanga wa sheria? .... Sasa hivi si utakuwa jaji mkuu au jaji wa mahakama ya rufaa au mwanasheria mkuu wa serikali !
sky soldier said: hahha jamaa nakumbuka ndie akienifanya nipate mwanga wa sheria nilipokua shule ya msingi enzi hizo Click to expand... We kiboko ! shule ya msingi tu ushapata mwanga wa sheria? .... Sasa hivi si utakuwa jaji mkuu au jaji wa mahakama ya rufaa au mwanasheria mkuu wa serikali !
Bigbootylover JF-Expert Member Joined Oct 4, 2015 Posts 2,847 Reaction score 1,828 Jun 13, 2021 #23 Alikuwa anapiga makofi kuna mahali, paaaa
Analyse JF-Expert Member Joined Jan 19, 2014 Posts 17,637 Reaction score 47,413 Jun 15, 2021 #24 Tit 4 Tat said: Nakumbuka na kale kaufunguo alikokua anakachezea Huku akisema adhabu yake ni kifungo cha miaka 5 au faini ya milioni 1 au vyote kwa pamoja Click to expand... Hivi zilikuwa ni funguo au pingu?
Tit 4 Tat said: Nakumbuka na kale kaufunguo alikokua anakachezea Huku akisema adhabu yake ni kifungo cha miaka 5 au faini ya milioni 1 au vyote kwa pamoja Click to expand... Hivi zilikuwa ni funguo au pingu?
ggenerale Senior Member Joined Jan 20, 2018 Posts 196 Reaction score 390 Jun 15, 2021 #25 Bigbootylover said: Alikuwa anapiga makofi kuna mahali, paaaa Click to expand... Sio makofi, Rijamaa ririkuwa rinavunja CD, yani hapo moyo ulikuwa unaniripuka kabisa[emoji28][emoji28][emoji28]
Bigbootylover said: Alikuwa anapiga makofi kuna mahali, paaaa Click to expand... Sio makofi, Rijamaa ririkuwa rinavunja CD, yani hapo moyo ulikuwa unaniripuka kabisa[emoji28][emoji28][emoji28]