Mzee wangu ameniharibu!

Mzee wangu ameniharibu!

Good afternoon brothers. Majukumu ya malezi yanakwendaje?

Uhusiano wangu na jamii;

Tangu nazaliwa na kuanza kujitambua, mzee wangu amenilea malezi ambayo naona magumu yake na athari zake muda huu. Nina 'traits' za kushangaza ila naomba mjikite kwenye kutoa ushauri na ufafanuzi tafadhali;

Mpaka umri huu sinywi pombe na sivuti sigara, sikati kona katika 'circular way', yaani ni lazima nitengemeze nyuzi karibia tisini, toka udogo nimelelewa hivyo.

Mpaka muda huu nakumbuka sijawahi kucheka, ila kutabasamu kwa sekunde zisizozidi 10. Huwa nacheka nikiwa peke yangu tu.

Huwa nalia peke yangu nikiona watoto wadogo wanakufa kwa kukosa pesa za matibabu, wanyama wanateseka n.k, huwa hata chakula hakipiti. Siku yangu huharibika kabisa.

Sili na sikumbuki kama nimewahi kula kwa watu au jirani, nimelelewa hivyo, hata nikiwa na njaa ni lazima nirudi nyumbani ndipo nile.

Nimefundishwa na mzee kutocheka hata na ndugu yangu, endapo hakuna kitu cha msingi cha kucheka, na nipo hivyo.

Nikitembea sigeuki nyuma, na nikigeuka basi ni kwa haraka mno na ni kichwa pekee tu, na siyo mwili wote. Napenda mno kufanya mapenzi.

Sijui ku'fake' kicheko au kilio, ukinichekesha hata kwa lisaa lizima, kama sijafurahi nitaishia kutabasamu tu tena kwa mbali.

Mzee amenifundisha kutoogopa yeyote hata akiwa mtu mkubwa kiasi gani, ila niheshimu kila mtu.

Haya yananitesa mno na kupelekea watu kuniogopa na kuniona kama 'maniac', hasa kwa hili la kuwa na uso mkavu na kutoigiza kicheko wala tabasamu. Nimekosa baadhi ya fursa kwa sababu hii. Mzee ameniharibu mno kwani sipendi hali hii, na ingekuwa amri yangu nisingekubali.

Hii ndiyo hali yangu halisi, sijui nitatokaje
Una familia yako? Watoto je unawarithisha alichokupa mzee??

Mimi sioni shida as long as wewe si jirani yangu, uko sawa
 
mzee wako alikuwa askali kikosi gani tuwaite vijana wa op Nyerere kambi ya orojolo watufafanulie kwann makamanda wa zamani walikua mangwakwa sana
Mzee wangu alisoma enzi za Nyerere na alikuwa mwalimu. Mzee pia aliwahi kuwa na kitu hiki, ila alifanyiwa 'surgery' ya kichwa na kukatwa baadhi ya mishipa, ndipo akawa na afadhali. Nafikiria vitu deep mno, hata kama ni kitu kidogo. Nina mengi mno, hayo ni machache.
 
Kwa dunia ya leo iliyojaa unafiki unaweza ukaona maisha magumu. Maana leo kuna watu wanaojiita machawa ambao wako radhi kucheka kinafiki hata wakiona wake zao wanatiwa vidole na wenye navyo.

Hivyo ulivyo sasa ndio maumbile yako, jaribio lolote la kutaka kujibadilisha kutapelekea uwe mnafiki. As long as humdhuru mtu, endelea kuwa kama ulivyo tu.

Nje ya mada kidogo mkuu, umesema unapenda kufanya mapenzi, sasa mademu pia unawatongoza na sura ngumu, je kwenye kunjunjana napo hutoi hata kicheko kidogo hasa pale baada ya kufika mshindo?????
 
Kwa dunia ya leo iliyojaa unafiki unaweza ukaona maisha magumu. Maana leo kuna watu wanaojiita machawa ambao wako radhi kucheka kinafiki hata wakiona wake zao wanatiwa vidole na wenye navyo.

Hivyo ulivyo sasa ndio maumbile yako, jaribio lolote la kutaka kujibadilisha kutapelekea uwe mnafiki. As long as humdhuru mtu, endelea kuwa kama ulivyo tu.

Nje ya mada kidogo mkuu, umesema unapenda kufanya mapenzi, sasa mademu pia unawatongoza na sura ngumu, je kwenye kunjunjana napo hutoi hata kicheko kidogo hasa pale baada ya kufika mshindo?????
Frankly huwa natabasamu kwa mbali mno, kutongoza natongoza kawaida tu, nalazimisha niwe natabasamu kwa mbali.
 
Good afternoon brothers. Majukumu ya malezi yanakwendaje?

Uhusiano wangu na jamii;

Tangu nazaliwa na kuanza kujitambua, mzee wangu amenilea malezi ambayo naona magumu yake na athari zake muda huu. Nina 'traits' za kushangaza ila naomba mjikite kwenye kutoa ushauri na ufafanuzi tafadhali;

Mpaka umri huu sinywi pombe na sivuti sigara, sikati kona katika 'circular way', yaani ni lazima nitengeneze nyuzi karibia tisini, toka udogo nimelelewa hivyo.

Mpaka muda huu nakumbuka sijawahi kucheka, ila kutabasamu kwa sekunde zisizozidi 10. Huwa nacheka nikiwa peke yangu tu.

Huwa nalia peke yangu nikiona watoto wadogo wanakufa kwa kukosa pesa za matibabu, wanyama wanateseka n.k, huwa hata chakula hakipiti. Siku yangu huharibika kabisa.

Sili na sikumbuki kama nimewahi kula kwa watu au jirani, nimelelewa hivyo, hata nikiwa na njaa ni lazima nirudi nyumbani ndipo nile.

Nimefundishwa na mzee kutocheka hata na ndugu yangu, endapo hakuna kitu cha msingi cha kucheka, na nipo hivyo.

Nikitembea sigeuki nyuma, na nikigeuka basi ni kwa haraka mno na ni kichwa pekee tu, na siyo mwili wote. Napenda mno kufanya mapenzi.

Sijui ku'fake' kicheko au kilio, ukinichekesha hata kwa lisaa lizima, kama sijafurahi nitaishia kutabasamu tu tena kwa mbali.

Mzee amenifundisha kutoogopa yeyote hata akiwa mtu mkubwa kiasi gani, ila niheshimu kila mtu.

Haya yananitesa mno na kupelekea watu kuniogopa na kuniona kama 'maniac', hasa kwa hili la kuwa na uso mkavu na kutovnigiza kicheko wala tabasamu. Nimekosa baadhi ya fursa kwa sababu hii. Mzee ameniharibu mno kwani sipendi hali hii, na ingekuwa amri yangu nisingekubali.

Hii ndiyo hali yangu halisi, sijui nitatokaje
Kuja nikupe mapenzi Moto Moto mrembo utajikuta unageuka tu nyuma
 
Back
Top Bottom