4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Leo nipo na furaha sana wakuu jf , amani ya Bwana ikawe juu yenu.
Rejea mada tajwa hapo juu
Mzee wangu Jaji na Waziri mkuu mstaafu mzee Warioba amani ya Bwana ikawe juu yako.
Mzee wangu kama Taifa umetupa baraka sana Mungu akutunze mzee wangu.
Kuna vilio huko ,ila kujibu hoja zako hawezi .
Mzee wangu upatapo muda tena ongezea spana , hili Taifa letu wote .
Asante mzee wangu
Rejea mada tajwa hapo juu
Mzee wangu Jaji na Waziri mkuu mstaafu mzee Warioba amani ya Bwana ikawe juu yako.
Mzee wangu kama Taifa umetupa baraka sana Mungu akutunze mzee wangu.
Kuna vilio huko ,ila kujibu hoja zako hawezi .
Mzee wangu upatapo muda tena ongezea spana , hili Taifa letu wote .
Asante mzee wangu