Mzee Warioba: Corona, Katiba na Miito ya Busara

Mzee Warioba: Corona, Katiba na Miito ya Busara

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Utu uzima dawa, na ya kale ni dhahabu.

Mzee Warioba ni mtu wa kuonwa kwa ushauri (consultation) na wote wenye nia njema na nchi hii na hasa wale walio wazalendo. Hii ni kwa wote tokea serikalini na hata wanaopambania kupatikana katiba mpya.

IMG_20210704_080147_886.jpg


Mzee Warioba yuko wazi kuhusu umuhimu na udharura wa katiba mpya. Kuwa kwa hakika katiba mpya ni kipaumbele kuliko vyote kwetu kwa sasa, lakini si kuliko Corona. Ni muhimu watu wasiwekwe hatarini na jitihada zote zifanyike kuwasikiliza wataalamu wa afya.

"Hatua iliyobakia ni ya kuirudisha katiba pendekezwa kwa wananchi kwa ajili ya kuiuza na hatimaye kupigiwa kura. Hatua hii inaweza kuwaweka wananchi hatarini zaidi na ugonjwa huu." Anasisitiza mzee Warioba.

Mzee Warioba anasema ilikuwa muhimu kwa Rais kukutana na vyama vya siasa kuongea kwa dhati, likiwamo suala la katiba. Wakakubaliana katiba mpya ni lini.

Kwa mujibu wa mzee Warioba, kuna yaliyomo katika katiba pendekezwa ambayo yangeweza kuwa adopted na kupitishwa na bunge, yakawekwa kwenye katiba iliyopo hata kabla ya katiba mpya. Mambo hayo ni yale yaliyo wazi zaidi yaliyotoka kwa wananchi na kuridhiwa na bunge la katiba na ambayo pia ni kizungumkuti kwa vyama vya siasa.

Mfano wa mambo hayo ni kama:

1. uwapo wa tume huru,
2. kuwa na wagombea huru
3. Rais kuchaguliwa iwe zaidi ya 50%
4. Malalamiko ya chaguzi zikiwamo za urais kulalamikiwa mahakamani kisheria.

Hali hii itasaidia kutoa nafasi ya kuweka mambo sawa zaidi kwa mustakabala mwema wa haki katika nchi yetu.
-----
My take:

Mzee Warioba ana hoja za msingi na hasa maonyo zaidi kama haya yanapoendelea kuzizima:

 
Ningeshangaa usingehusisha neno CORONA kwenye bandiko lako.. We jamaa sijui una ugonjwa wa kuiwaza CORONA!?.. nahisi hata ukikuta watu wanajadili mpira lazima ulete story za Corona. Kulikuwa na umuhimu gani kuweka neno Corona kwenye heading!?.. Bado hujioni ulivyo f.ala?
 
Ningeshangaa usingehusisha neno CORONA kwenye bandiko lako.. We jamaa sijui una ugonjwa wa kuiwaza CORONA!?.. nahisi hata ukikuta watu wanajadili mpira lazima ulete story za Corona. Kulikuwa na umuhimu gani kuweka neno Corona kwenye heading!?.. Bado hujioni ulivyo f.ala?
Hiyo ni crosscutting issue
 
Ningeshangaa usingehusisha neno CORONA kwenye bandiko lako.. We jamaa sijui una ugonjwa wa kuiwaza CORONA!?.. nahisi hata ukikuta watu wanajadili mpira lazima ulete story za Corona. Kulikuwa na umuhimu gani kuweka neno Corona kwenye heading!?.. Bado hujioni ulivyo f.ala?

Bandiko lote ni nukuu tokea kwa Mzee Warioba. Umeelewa ewe mburula:

1. Mwenye kupinga taarifa yoyote kuhusu Corona kizezeta zezeta tu bila kujali inatoka wapi?
2. Mwenye kupinga umuhimu wa katiba mpya bila ya kuwa na hoja wala uelewa wowote?

Wewe ni yupi katika kundi la vyawa wasioelimika hawa:

"Sungu sungu, wapiga debe au vibaka?"
 
Bandiko lote ni nukuu tokea kwa Mzee Warioba.

Umeelewa ewe mburula ambaye:

1. Unapinga taarifa yoyote kuhusu Corona bila kujali inatoka wapi?
2. Unayepinga umuhimu wa katiba mpya?

Wewe ni yupi katika kundi la vyawa wasioelimika?

Sungu sungu, wapiga debe au vibaka?
Toka kwa shemeji yako unakolishwa bure ukajipambanie ndo utapata akili. Hizi akili zako za ki Corona Corona zinakufanya uwe fal.a sana.
 
Toka kwa shemeji yako unakolishwa bure ukajipambanie ndo utapata akili. Hizi akili zako za ki Corona Corona zinakufanya uwe fal.a sana.

Ungekuwa hulelewi ungejua kwa nini:

1. Ni muhimu maisha yakalindwa kama kipaumbele na si kufanyiwa mzaha kwenye malimao, mikaratusi, nyungu, au matango pori mengine.
2. Ungejua umuhimu wa katiba mpya kwako, wanao, na hata watoto wa watoto wako.

Mwandiko wako tu unaonesha ni aina gani ya mtu wewe:

Bila ya shaka wewe ni mshamba!
 
Ningeshangaa usingehusisha neno CORONA kwenye bandiko lako.. We jamaa sijui una ugonjwa wa kuiwaza CORONA!?.. nahisi hata ukikuta watu wanajadili mpira lazima ulete story za Corona. Kulikuwa na umuhimu gani kuweka neno Corona kwenye heading!?.. Bado hujioni ulivyo f.ala?
punguza jaziba
Achana na kauli zakujifariji "ningekua nilijua"
Kwann uishi kwa ngeli..vaa barakoa bena sanitizer korona IPO sapoti asemacho mwezetu

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Ungekuwa hulelewi ungejua kwa nini:

1. Ni muhimu maisha yakalindwa na si kufanyiwa mzaha kwenye malimao, mikaratusi, nyungu, au matango pori mengine.
2. Ungejua umuhimu wa katiba mpya kwako, wanao, na hata watoto wa watoto wako.

Mwandiko wako tu unaonesha ni aina gani ya mtu wewe:

Bila ya shaka wewe ni mshamba!
Kwani mtu akiona umuhimu ndo lazima aje JF kushinda anaongelea Corona!?.. kwahiyo ambao hawashindi JF wanafikiria Corona masaa yote hawachukui tahahari!?.. no maana Jana nikakuita k.enge huna akili. Toka kwa mumeo au shemeji yako ukajitafutie baada ya hapo huwezi kuwa unaiwazia Corona na kuongelea masaa yote. Huku mtaani tunadunda tu.
 
Mimi najiuliza Hawa makondakta wa kwenye Daladala wanaoshinda asubuhi mpaka usiku wakibanana na kupumuliana hewa na abiria tofautitofauti kila siku, na kila pesa anayoishika lazima iwe imepita kwenye kila mkono wa kila abiria, lakini hawaumwi hayo makorona yenu.

Hapa labda tuambiane ukweli, Huenda huu ugonjwa hauambukizwi kwa njia ya hewa wala kugusana na badala yake unaambukizwa kwa njia zingine, sababu wanaohisiwa kupata Corona ni wale watu wasiojichanganya kabisa
 
Kwani mtu akiona umuhimu ndo lazima aje JF kushinda anaongelea Corona!?.. kwahiyo ambao hawashindi JF wanafikiria Corona masaa yote hawachukui tahahari!?.. no maana Jana nikakuita k.enge huna akili. Toka kwa mumeo au shemeji yako ukajitafutie baada ya hapo huwezi kuwa unaiwazia Corona na kuongelea masaa yote. Huku mtaani tunadunda tu.

Mimi sina haja ya kukuita kenge kwa sababu wewe ni wa kuhurumiwa.

You are simply an ignorant fool who merit none of my time however minute it might be!
 
Mimi najiuliza Hawa makondakta wa kwenye Daladala wanaoshinda asubuhi mpaka usiku wakibanana na kupumuliana hewa na abiria tofautitofauti kila siku, na kila pesa anayoishika lazima iwe imepita kwenye kila mkono wa kila abiria, lakini hawaumwi hayo makorona yenu.

Hapa labda tuambiane ukweli, Huenda huu ugonjwa hauambukizwi kwa njia ya hewa wala kugusana na badala yake unaambukizwa kwa njia zingine, sababu wanaohisiwa kupata Corona ni wale watu wasiojichanganya kabisa

Umeiona article hii:


Waliopumuliwa na kuupata ugonjwa huu hawako tena kwenye madaladala. Wako makaburini na wengine mawodini. Ungejikielekeza huko kwenda kujua waliko.

Katiba mpya ni muhimu sana binafsi ni muhimu kweli, lakini si kiasi cha kuyasabiria maisha kwenye mikusanyiko hatarishi.

Ninakubaliana na mzee Warioba 100%, mzee wa siku.

"Mhariri,

Hapo Arusha na Kilimanjaro viongozi wanapoteza sana maisha, huo utalii mnaoutangaza ili kutangaza vivutio kwa wageni wa nje ndio unaopelekea nchi inapata mawimbi ya magonjwa ya ajabu ajabu.

Mara mnatangaza utalii, mara mnakopa pesa kuendeleza miradi, mara mnataka katiba mpya, mara mnapanua wigo wa kulipa kodi, mara mnajadiliana na wawekezaji. Kifupi ni kwamba nchi haijakaa kimkakati, inatapatapa kama mfa maji, na bahati mbaya wimbi la tatu la corona likituzidia tutaumia sana.

Nashauri, tupambane kwanza na afya, tukishaimarika basi tutafanya hayo maendeleo. Kwani tukishughulikia ugonjwa ukaisha kisha tukaendelea na masuala ya miradi ya maendeleo mtakuwa mmepoteza nini? Shida washauri wengi wanatumia matumbo badala ya kichwa.

Hallson Mengere"
 
punguza jaziba
Achana na kauli zakujifariji "ningekua nilijua"
Kwann uishi kwa ngeli..vaa barakoa bena sanitizer korona IPO sapoti asemacho mwezetu

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app

Huyo mjomba ni wa kupuuza. Tatizo lake kubwa ni kukosa elimu ya kutosha.

Mwandiko wake tu unaweza kuuona.

Ujinga + upumbavu vyote vyake. Hajui kuwa hajui.
 
Huyo mjomba ni wa kupuuza. Tatizo lake kubwa ni kukosa elimu ya kutosha.

Mwandiko wake tu unaweza kuuona.

Ujinga + upumbavu vyote vyake. Hajui kuwa hajui.
Mzee wetu pendwa mzee mwinyi baba wa Rais wa Zanzibar

Ikimpendeza atufutie ilekauli

YA KICHWA CHA mwendawazimu ,mana tunazidi kupata tabu

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Umeiona article hii:


Waliopumuliwa na kuupata ugonjwa huu hawako tena kwenye madaladala. Wako makaburini na wengine mawodini. Ungejikielekeza huko kwenda kujua waliko.

Katiba mpya ni muhimu sana binafsi ni muhimu kweli, lakini si kiasi cha kuyasabiria maisha kwenye mikusanyiko hatarishi.

Ninakubaliana na mzee Warioba 100%, mzee wa siku.

"Mhariri,

Hapo Arusha na Kilimanjaro viongozi wanapoteza sana maisha, huo utalii mnaoutangaza ili kutangaza vivutio kwa wageni wa nje ndio unaopelekea nchi inapata mawimbi ya magonjwa ya ajabu ajabu.

Mara mnatangaza utalii, mara mnakopa pesa kuendeleza miradi, mara mnataka katiba mpya, mara mnapanua wigo wa kulipa kodi, mara mnajadiliana na wawekezaji. Kifupi ni kwamba nchi haijakaa kimkakati, inatapatapa kama mfa maji, na bahati mbaya wimbi la tatu la corona likituzidia tutaumia sana.

Nashauri, tupambane kwanza na afya, tukishaimarika basi tutafanya hayo maendeleo. Kwani tukishughulikia ugonjwa ukaisha kisha tukaendelea na masuala ya miradi ya maendeleo mtakuwa mmepoteza nini? Shida washauri wengi wanatumia matumbo badala ya kichwa.


Hallson Mengere"
Mkuu acha Uongo, mokondakta na madereva daladala wapo njema kiafya na wanaendelea na kazi zao.
 
Mzee wetu pendwa mzee mwinyi baba wa Rais wa Zanzibar

Ikimpendeza atufutie ilekauli

YA KICHWA CHA mwendawazimu ,mana tunazidi kupata tabu

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app

Kauli hii ya mhariri Mwananchi ni fikirishi sana:

"Mhariri,

Hapo Arusha na Kilimanjaro viongozi wanapoteza sana maisha, huo utalii mnaoutangaza ili kutangaza vivutio kwa wageni wa nje ndio unaopelekea nchi inapata mawimbi ya magonjwa ya ajabu ajabu.

Mara mnatangaza utalii, mara mnakopa pesa kuendeleza miradi, mara mnataka katiba mpya, mara mnapanua wigo wa kulipa kodi, mara mnajadiliana na wawekezaji. Kifupi ni kwamba nchi haijakaa kimkakati, inatapatapa kama mfa maji, na bahati mbaya wimbi la tatu la corona likituzidia tutaumia sana.

Nashauri, tupambane kwanza na afya, tukishaimarika basi tutafanya hayo maendeleo. Kwani tukishughulikia ugonjwa ukaisha kisha tukaendelea na masuala ya miradi ya maendeleo mtakuwa mmepoteza nini? Shida washauri wengi wanatumia matumbo badala ya kichwa.


Hallson Mengere"

Serikali ilipaswa kutoka iliko kuweka mambo sawa kuliko kuwaachia wendawazimu kujinasibu kuwa nao wamo.
 
Mimi najiuliza Hawa makondakta wa kwenye Daladala wanaoshinda asubuhi mpaka usiku wakibanana na kupumuliana hewa na abiria tofautitofauti kila siku, na kila pesa anayoishika lazima iwe imepita kwenye kila mkono wa kila abiria, lakini hawaumwi hayo makorona yenu.

Hapa labda tuambiane ukweli, Huenda huu ugonjwa hauambukizwi kwa njia ya hewa wala kugusana na badala yake unaambukizwa kwa njia zingine, sababu wanaohisiwa kupata Corona ni wale watu wasiojichanganya kabisa
Kwani ugonjwa ukiwa mahali ni lazima upate kila mtu ndo ujue ugonjwa upo?.Acha kua na akili ndogo zisizotosha ata kuvukia barabara.
 
Huyo mjomba ni wa kupuuza. Tatizo lake kubwa ni kukosa elimu ya kutosha.

Mwandiko wake tu unaweza kuuona.

Ujinga + upumbavu vyote vyake. Hajui kuwa hajui.
Hatimaye umepata support kidogo unashinda unaitafuta JF. Wewe ni k.enge usiye na akili. Toka kwa shemeji yako ukajitafutie baada ya hapo hutakaa unaiogopa Corona masaa yote. Mwanaume anayejitafutia riziki hawezi kushinda mitandaoni anaanzisha threads za Corona masaa 24.
 
Back
Top Bottom